GE2025 Majina ya wagombea udiwani kata za wilaya ya Uyui Tabora

GE2025 Majina ya wagombea udiwani kata za wilaya ya Uyui Tabora

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Akisoma Majina hayo Agosti 1, 2025 ofisini kwake Katibu wa Siasa na uenezi Ccm mkoa wa Tabora Ndugu Idd Moshi Mambo ameeleza kuwa haya ndio majina ambayo yamepitishwa na Chama cha mapinduzi Ccm kwa ajili ya Wajumbe wa Chama cha mapinduzi ngazi ya kata kuwapigia kura na kumchagua mmoja kuwa Mgombea wa Udiwani katika kata yao

 
Mbona walisema majina yote yarudishwe au mie nilielewa vibaya?
 
Back
Top Bottom