Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Mamboz ma Great Thinkers!
Haya majina ya ROOM za GUEST yananiacha hoi unaweza ukafikiria mtu kasafiri nje ya nchi kumbe yupo TZ coz wamezipa hizo room majina ya miji mikubwa ya nje ya nchi kama MANCHESTER,MADRID,LONDON,ALABAMA nk.
Hivi ni kwanini hawatumii namba kama kawaida??!!
Haya majina ya ROOM za GUEST yananiacha hoi unaweza ukafikiria mtu kasafiri nje ya nchi kumbe yupo TZ coz wamezipa hizo room majina ya miji mikubwa ya nje ya nchi kama MANCHESTER,MADRID,LONDON,ALABAMA nk.
Hivi ni kwanini hawatumii namba kama kawaida??!!