Habari za wikend wadau,huwa najiuliza kama majina ya magereza yetu hapa nchini kama yana maana yeyote,mfano utokapo morogoro kwenda Dodoma,kabla ya kufika Dumila,ukiwa maeneo ya WAMI-DAKAWA,hapa kuna magereza kadhaa,ila kuna gereza linaitwa GEREZA LA MTEGO WA SIMBA.....ni gereza kuubwa sana linajihusiha na masuala ya KILIMO(kama ilivyo kwa magereza meengi ya mkoani morogoro),sijajua sababu ya kupewa jina hili,nawe tupia jina la gereza unalolijua na utuambie huenda lina maana......
Siku njema wadau
Siku njema wadau