Majina ya maeneo na maana zake

Majina ya maeneo na maana zake

Tata ya bana

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2018
Posts
304
Reaction score
369
Wakuu, moja ya aim za JF ni kuelimishana, sasa naomba kila mmoja mwenye kuelewa jina la eneo na maana yake atupie humu.

Naanza mimi, Upanga iliyopo Dar es salaam ilitokana na picha ya Upanga iliyopo kwenye HQ ya JWTZ.

Tuambie na wewe yako!
 
1.Tabora = Matobolwa yaani viazi vitamu vilivyohifadhiwa kwa kukatwa, kuchemshwa na kuanikwa

2. Moshi = Msikiti kwa Kijerumani

3. Morogoro = Mlio wa Maporomoko ya maji

4. Kibaya (hq ya Kiteto) = Umefika

5. Manyara = Minyaa

6. Maji ya Chai = Maji yenye rangi ya chai

7. Kilimanjaro = Kilimakyaro

8. Dodoma = Idodomywa (kuzama)

9. Mtwara = Kutwaa (kuchukua). Mfalme mmoja alikuwa akichukua wanawake wazuri na kuwafanya wakeze bila kujali ni mke wa mfuasi wake au la.

10. Lindi = Bonde (lindi la maji). Mji uko chini ya usala wa bahari.

11. Mwananyamala = Mtoto Nyamaza


Ntarudi Baadaye

Bazazi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Tabora = Matobolwa yaani viazi vitamu vilivyohifadhiwa kwa kukatwa, kuchemshwa na kuanikwa

2. Moshi = Msikiti kwa Kijerumani

3. Morogoro = Mlio wa Maporomoko ya maji

4. Kibaya (hq ya Kiteto) = Umefika

5. Manyara = Minyaa

6. Maji ya Chai = Maji yenye rangi ya chai

7. Kilimanjaro = Kilimakyaro

8. Dodoma = Idodomywa (kuzama)

9. Mtwara = Kutwaa (kuchukua). Mfalme mmoja alikuwa akichukua wanawake wazuri na kuwafanya wakeze bila kujali ni mke wa mfuasi wake au la.

10. Lindi = Bonde (lindi la maji). Mji uko chini ya usala wa bahari.

11. Mwananyamala = Mtoto Nyamaza


Ntarudi Baadaye

Bazazi



Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusubiri ukirudi nitag
 
LUFUNGILA (jina halisi NYALUFUNGILA) uyuu alikuwa ni profesa aliyefanya kazi UCLASS (ARDHI UNIVERSITY ya sasa) pia wizara ya ardhi ndo muanzilishi wa zile "Kotaz" wanakaa walimu wa udsm zaitwa Kijitomyama hostel ila ziko Sinza Mori, alkuwa mzaliwa wa kijiji cha Gallu kata ya Ilangala, Tarafa ya Ilangala wilayani UKEREWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SUMBAWANGA = TUPA UCHAWI. hii ni kama nilivyowasikia wenyeji wa huko miaka hiyo.
 
Mzizima - mji wenye uzima/afya (Zaramo)

Dar es salaam - nyumba ya
amani /Pepo (Arabic-Quran)

Mwananyamala- mtoto nyamaza.(Kizaramo)
Kinondoni- kwenye kinundu (Kizaramo)
Kimara- kimeisha (Kizaramo)
Kiwalani Kiwanjani- (Kizaramo)
Kibaha - kipo (Kizaramo)
Kariakoo - carrier corps (Kiingereza)
Bagamoyo- Bwaga-moyo (Kiswahili)
Ubungo - Bungo
 
Mzizima - mji wenye uzima/afya (Zaramo)

Dar es salaam - nyumba ya
amani /Pepo (Arabic-Quran)

Mwananyamala- mtoto nyamaza.(Kizaramo)
Kinondoni- kwenye kinundu (Kizaramo)
Kimara- kimeisha (Kizaramo)
Kiwalani Kiwanjani- (Kizaramo)
Kibaha - kipo (Kizaramo)
Kariakoo - carrier corps (Kiingereza)
Bagamoyo- Bwaga-moyo (Kiswahili)
Ubungo - Bungo
Nimeipenda hii
 
Mzizima - mji wenye uzima/afya (Zaramo)

Dar es salaam - nyumba ya
amani /Pepo (Arabic-Quran)

Mwananyamala- mtoto nyamaza.(Kizaramo)
Kinondoni- kwenye kinundu (Kizaramo)
Kimara- kimeisha (Kizaramo)
Kiwalani Kiwanjani- (Kizaramo)
Kibaha - kipo (Kizaramo)
Kariakoo - carrier corps (Kiingereza)
Bagamoyo- Bwaga-moyo (Kiswahili)
Ubungo - Bungo
Nilikuwa sijui maana ya kimara, na kinondoni !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar-esSalaam-bandari ya salama
Kariakoo-carry and go
Mzizima - mji wenye uzima/afya (Zaramo)

Dar es salaam - nyumba ya
amani /Pepo (Arabic-Quran)

Mwananyamala- mtoto nyamaza.(Kizaramo)
Kinondoni- kwenye kinundu (Kizaramo)
Kimara- kimeisha (Kizaramo)
Kiwalani Kiwanjani- (Kizaramo)
Kibaha - kipo (Kizaramo)
Kariakoo - carrier corps (Kiingereza)
Bagamoyo- Bwaga-moyo (Kiswahili)
Ubungo - Bungo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom