Majina ya Kihaya ya kike

Majina ya Kihaya ya kike

Mukamara, Nyangoma, Nyakato, Nyamwiza, Biandiko, Atugonza, Atusime, Mukebita nadhani imetosha ila usisahau kama ni wanawake watu wazima basi majina yao yanatanguliwa na Kijiheshima fulani. MA........, Mfano MAMukamara, MaKarungi, MaBiandiko, MaNyangoma. Ukikosea utapigwa kwenzi dunia nzima ka nyundo!


mimi ninamshukuru saana Gekai maana inaonesha ni jinsi gani amekuwa mwelewa, asante saana naseama tena asante saana. Mtu km anahitaji kitu nafikili asaidiwe sio tuanze kuulizana maswali hapa km tunataka kutambika, yeye anataka majina ya ya Kihaya inawezekana akawa muhaya lakini kazaliwa mjini na anataka wanaye wawe na identity ya nyumbani kwa hiyo maadamu havunji sheria za hapa JF sion km ni kosa
 
This is absolutely ludicrous, how comes to a person like you probably erudite asking the names of the women from Haya tribe, for what and why?

Sometimes if you have nothing to thread in this blog of the Greater Thinker you better keep quite. I’m not a Haya but this kind of retort is totally deplorable brother, worse enough you start insulting other, logically who is doing brah things, you or TMK

Just think greater and pose the threads which make us to move a steep forward socially, ecomically and politically, so after know their names what next??

Duh! hiki ni kizungu au!!! kaka si ungeandika kiswahili tu, unajifanya mjuaji bure, wazungu wakisoma hii watakutukana twice as much ya matusi, kwa kuipaka matope lugha yao, sio lazima kuchangia kila kitu sometimes unaweza kusoma na kutafakari kimyakimya badala ya kuonesha uwezo wako duni hadharani.
 
asante kuuliza mengine nimeyapata humu sikuwahi yasikia, nkijaliwa ntachagua moja, haya kuna Namala,Kokusima, kokuabwa, atugonza, ajuna, alituijuna, Kemilembe, shubila, keitesi, kalikwenda, mengine nkikumbumbuka hayo yetu kwetu.
 
Kokusima,kokubelwa,kiangonzi,kokushubilwa,Tumsime!!
 
This is absolutely ludicrous, how comes to a person like you probably erudite asking the names of the women from Haya tribe, for what and why?

Sometimes if you have nothing to thread in this blog of the Greater Thinker you better keep quite. I’m not a Haya but this kind of retort is totally deplorable brother, worse enough you start insulting other, logically who is doing brah things, you or TMK

Just think greater and pose the threads which make us to move a steep forward socially, ecomically and politically, so after know their names what next??

Duh huoni aibu kuanika ubw-ege wako Domisianus?

kutojua kingereza sio upambafu ila kutojua na kutojua kama hujui aisee huu ni upambaf wa hali ya juu
 
Kokunyegeza, kokushubira, kemilembe, kokubanza, kokusima........
 
Owokujumangana, Owokujumwamagezi, Kalungi, Owokulebwa, Kiniga, Kekiniga, Keibuba, Kamagezi, Kagole.:lol:
 
magina mengine yapo bandugu??
Nimependa haya: Shubila, Sima, Karungi, Kekisha.......
 
Majina ya koku, koku nimeachoka, kila mtoto wa kike ni koku....i think its high time we changed...don't you think so??

Hujui maana ya majina haya, waachie wenyewe na majina yao, kama huyataki hama kabila
 
Back
Top Bottom