Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
hAPO KWENYE NYEKUNDU... Hili nalo la kihaya? Nikidhani la kizaramo!praxeda, piastela, kaundime......nk
hAPO KWENYE NYEKUNDU... Hili nalo la kihaya? Nikidhani la kizaramo!praxeda, piastela, kaundime......nk
Wewe ndo bwe-ge kwa nini uanzishe thread ya kujadili majina ya watu huna lingine la kujadili?
Wewe ndo bwe-ge kwa nini uanzishe thread ya kujadili majina ya watu huna lingine la kujadili?
Teh teh lingine hilo Kokubanza!
praxeda, piastela, kaundime......nk
Kama huna kazi kakojoe ulale majinayetu unayataka ya nini??
kokupilipili, kokunyanya.....
Ghost
majina mengine ni:-
1. Sima [shukurani]
2. Shubira [tegemea]
3. Kishakyamukama[huruma ya mungu]
Hey fellas,
Naomba mapendekezo ya majina ya KIKE ya kihaya.
Mungu Awabariki..:glasses-nerdy: