Majina ya ajira Mpya za walimu!

kasinge

JF-Expert Member
May 22, 2011
1,259
319
Wadau wan jf, kulikuwa habari kuwa majina ya ajira mpya za walimu yangebandikwa leo j5. Mimi nilijua ni kwenye websites husika. Lakini mpaka sasa hakuna. Mbali na kupigika kitaa, tungepende kuona majina yetu mapema tuanze kuomba nauli za kwenda huko sitimbi. Tupeane taarifa wadau. Naomba kuwasilisha.
 
Wadau wan jf, kulikuwa habari kuwa majina ya ajira mpya za walimu yangebandikwa leo j5. Mimi nilijua ni kwenye websites husika. Lakini mpaka sasa hakuna. Mbali na kupigika kitaa, tungepende kuona majina yetu mapema tuanze kuomba nauli za kwenda huko sitimbi. Tupeane taarifa wadau. Naomba kuwasilisha.
Vuta subira mkuu yatakuja tu
 
Nikiyapata tu nitakuweka hapa ili hata wanaotumia simu waweze kuyaona
 
Yapo kwenye hardcopy, bado 2nashughulikia kuyaweka kwny softcopy! Tukimalza tu kuyaingza kitu kinarushwa hewan! Vuta subra kdg! Bt bahat mbaya ni kwamb km una supplmentar jna lako lnawekwa pending mpaka July ndo 2talichek kwa upya!
Source: MOEVT ofsin.
 
Haya kamateni majina hayo kwa PDF wale wa SIMU mtaniwia radhi!! Ya diploma na nwlinu-mahitaji maalumu sijaweka...............!! Hongereni sana,mkajenge taifa!! wenzangu nami tusio walimu SUBIRA YAVUTA KHERI
 

Attachments

  • AJIRA MPYA YA WALIMU WA SEKONDARI - SHAHADA 2011-2012 Final.pdf
    947.9 KB · Views: 2,067
  • AJIRA MPYA YA WAKUFUNZI WA VYUO VYA UALIMU -SHAHADA 2011-2012.pdf
    18.2 KB · Views: 629
Haya kamateni majina hayo kwa PDF wale wa SIMU mtaniwia radhi!! Ya diploma na nwlinu-mahitaji maalumu sijaweka...............!! Hongereni sana,mkajenge taifa!! wenzangu nami tusio walimu SUBIRA YAVUTA KHERI

Mkuu shukrani tatizo natumia ssimu usiku huu kama unaweza tuwekee wa simu
 
Haya kamateni majina hayo kwa PDF wale wa SIMU mtaniwia radhi!! Ya diploma na nwlinu-mahitaji maalumu sijaweka...............!! Hongereni sana,mkajenge taifa!! wenzangu nami tusio walimu SUBIRA YAVUTA KHERI
We ni noma. Shukrani sana nipo Kinondoni.
 
Haya kamateni majina hayo kwa PDF wale wa SIMU mtaniwia radhi!! Ya diploma na nwlinu-mahitaji maalumu sijaweka...............!! Hongereni sana,mkajenge taifa!! wenzangu nami tusio walimu SUBIRA YAVUTA KHERI
<br>
We ni noma. Shukrani sana nipo Kinondoni.
 
Hatimaye zile ajira walimu zilizosuburiwa muda mrefu zimetoka sasa hv..cheki www.moe.go.tz lakn files ni PDF wenye visimu tusaidien jaman!...
 
Back
Top Bottom