Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,775
- 257,516
Naupenda jamaniWanakwambia kama sijakosea "Muuza karanga wamtaka wewe, Mkurugenzi wamtaka wewe, Muuzaji duka wamtaka wewe , kwako bora shilingi"
Hahahaaa. Nije niutafutage huo mwimbo siku moja niusikilize.