Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Mar 28, 2012 #1 Jamani huwa ninavutiwa sana na misemo ya kwenye khanga. Mfano: 1.Hata ng'ombe alikuwa ndama 2.Wao majungu,sisi kazi tu! 3.Ukiona manyoya ujue kashaliwa! Kama nawe unaikumbuka mingine ongezea hapa!
Jamani huwa ninavutiwa sana na misemo ya kwenye khanga. Mfano: 1.Hata ng'ombe alikuwa ndama 2.Wao majungu,sisi kazi tu! 3.Ukiona manyoya ujue kashaliwa! Kama nawe unaikumbuka mingine ongezea hapa!
toghocho JF-Expert Member Mar 16, 2011 1,172 198 Mar 28, 2012 #4 mama nipe radhi, kuishi na watu kazi
Mtende JF-Expert Member Sep 27, 2010 6,385 7,295 Mar 28, 2012 #9 unikome kama ulivyokoma ziwa la mamayo
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Mar 28, 2012 Thread starter #14 Hahahaaaa... malyshu said: dawa ya mmbea kumzodoa. Click to expand...
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Mar 28, 2012 Thread starter #15 Huku wakisahau si kila mchicha utakuwa kufikia mbuyu SI unit said: Hata mbuyu ulikua kama mchicha Click to expand...
Huku wakisahau si kila mchicha utakuwa kufikia mbuyu SI unit said: Hata mbuyu ulikua kama mchicha Click to expand...
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Mar 28, 2012 Thread starter #16 Hapo ujue amenunua nguo mpya uswahilini! ARV said: Mtanikoma mtaa huu Click to expand...
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Mar 28, 2012 Thread starter #17 Kweli tupu! mchonga said: Ukitaka kujua tabia ya mtu mpe pesa. Click to expand...