Majina, misemo na maneno kwenye khanga

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,904
1,976
Jamani huwa ninavutiwa sana na misemo ya kwenye khanga.
Mfano:
1.Hata ng'ombe alikuwa ndama
2.Wao majungu,sisi kazi tu!
3.Ukiona manyoya ujue kashaliwa!
Kama nawe unaikumbuka mingine ongezea hapa!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…