Majina mengine ya Mungu

Majina mengine ya Mungu

jehova ni mungu akiabudiwa na waisrael na el ni mungu akiabudiwa na jamii mbalimbali za caanan.
maandiko ya bible ni mixer ya maandiko ya walioabudu YAHWEH na walioabudu El, ndo maana jina la el limetokea katika baadhi ya aya za bible

EL ni neno lenye maana ya mungu,linatokana na lugha ya wakaanani kama ulivyosema mkuu,isipokuwa kwa muktadha wa matumizi yake,ni more of a title rather than a name.

Kutokana na neno hili as a root,ndipo kiaramaiki kikapata neno Elah,kiebrania kikapata neno Eloah ambayo plural form yake ni Elohim na kiarabu kikapata neno Allah,yote haya yakimaanisha God yaani Mungu.

Tena kuprove kuwa hii ni title zaidi ya jina halisi,kwa kiebrania wingi(plural form) wake ni Elohim,na kuna baadhi ya maandishi ya zamani sana,yanatumia neno Elohim kumaanisha aina fulani ya viumbe wa mbinguni,na hata fallen angels(nephillims) wakiwaita Elohims,kudhihirisha kuwa hawa malaika waasi waliabudiwa kama miungu wakati fulani hapa duniani,na ndio chanzo cha ibada ya masanamu ya kipagani,ikiwa ni mfano wa vile viumbe halisi vya mbinguni vilivyoshuka wakati wa Yaredi na hata baada ya gharika kule Babylon kuja kuitawala na kuichafua dunia.

Katika miungu iliyoabudiwa kanaani alikuwepo mmoja aliyeitwa El Elyon(Mungu aliye juu) ambaye kuna mafungu kwenye biblia ambayo yanaonyesha kuwa huyu ndiye aliyeabudiwa na akina Abraham na Melchizedek wa Salem na hata dini nyingine za kiabrahamu kama uislam na uyahudi zina context inayofanana katika hili(Mungu aliye juu,Muumba wa vyote,aliye pekee,mmoja tu).

Samahani kwa kumjumuisha Mungu katika miungu ya kanaani,nimelazimika kutumia lugha hiyo ili nieleweke kutokana na uhalisia wa imani miaka ile,ambapo watu waliabudu miungu mingi tofauti,ambapo hata Mungu wa kweli walimhesabu kama mojawapo ya miungu.Mimi siamini hivyo,naamini Mungu ni mmoja tu isipokuwa hapa nazungumza kwa namna ya mazingira ya kiimani yaliyokuwa corrupt ya wakati ule,hivyo msinielewe vibaya wadau,msije mkaniwashia moto hapa.

Kwa hiyo historically katika Semitic languages,Mungu,miungu waliitwa kwa majina ambayo root yake ni El,lakini ni lazima uwe mwangalifu kujua particular sect wanamzungumzia El yupi,Abraham yeye El wake ni El Elyon.

Ndipo hapo watu wengi wanachanganya historia na kudhani kwamba huyu El Elyon ni mojawapo ya pagan deities za Canaan na hivyo kudhani Abraham aliabudu masanamu ya kanani,which is not true.

Hivyo since Mungu wa Abraham alikuwa ni El Elyon(Most High),then it is agreed na wachunguzi wa mambo kwamba all Abrahamic religions zinamwabudu Mungu huyu El Elyon,tofauti inakuja tu katika namna ya kumuelezea,tamaduni na athari zilizotokana na njia ambayo wahusika wameitumia kupokea imani toka vizazi vilivyopita(hata hivyo hilo ni muhimu kulizingatia kwa mtazamo wa kiimani).

Kwa hivyo kwa muktadha huo,inasemekana kwamba kimsingi,ukiondoa athari hizo along the way,Allah na Elohim historically ni Mungu mmoja huyo huyo isipokuwa tu baadae kila mtu akaweka nakshi zake kwa mujibu wa tamaduni zilimopitia dini hizo.

Jambo la msingi kwetu sisi wa kizazi cha leo,tuliopokea dini baada ya kupita katika mikono mingi,ni kuchunguza kama Allah na Elohim bado ni Mungu yule yule mmoja yaani El Elyon kama ilivyoaminiwa na Abraham descendants wa zamani,au along the road nakshi zilizidi kiasi cha kuharibu (corrupt) mantiki nzima ya imani husika,ukakuta kuwa unaabudu jiwe,jua,malaika etc huku ukiambiwa ndiye El Elyon!

La pili,kwa upande wa Wakristo na Wayahudi,

Katika Biblia,wakati Musa akizungumza na Mungu,Mwenyezi Mungu alijitambulisha na kumwambia Jina lake ni I AM(MIMI NDIYE),na kumuambia amtambulishe hivyo kwa Waisraeli.

Kwa kiebrania Jina hilo linaandikwa YHWH(no vowels).

Halikuwa na vowels katika kuliandika kwa taratibu za lugha yao wakati huo.

Lilikuwa na heshima ya pekee,nilisoma mahali fulani kwamba hata katika kuandika hizo herufi,kila herufi iliandikwa kwa kalamu yake na wino wake(wa kuchovya).



Baadae waisrael wakaona ya kuwa jina hilo ni takatifu mno kulitamka,hivyo wakaamua kutumia neno Adonai(Lord,My Lord) mahala pake.

Miaka ilivyosonga kiebrania kikaanza kutumia vowels hata katika maandishi,ikaonekana kuna umuhimu wa kuweka alama za vowels katika kuliandika(vowels zao waliandika kama alama fulani juu na chini ya neno), wakachukua vowels za Adonai na kuzichanganya na consonants za YHWH na kupata neno YAHOWAH,na hapo ndipo matamshi ya mwanzo ya Jina tulilonalo leo yalipoanza,baadae kilatini kikaingiza J na kwa influence ya kilatini na kigiriki pamoja na hiyo Hebrew hybrid ikapatikana JEHOVAH.

Hii yote ni katika kuhangaikia matamshi ya jina hilo.

Waisrael walichangia kwa kiasi kikubwa kupoteza matamshi ya lile Jina halisi la YHWH,kwa kupiga marufuku matumizi yake kwa miaka mingi sana.

Hivyo again,ukichunguza kwa kina kibiblia,tunatumia a Hybrid name Jehovah,jina halisi ni YHWH,baadhi wakilitamka YAHWEH,ila ukweli unabaki kuwa hizi zote ni makisio tu,kwa leo,nobody knows how to pronounce this Holy Name,zaidi ya kuliandika tu hivyo,YHWH au ukipenda unaweza kuliandika kwa tetragramaton(ndivyo inavyotakiwa haswa).

Na waislamu wao kupitia uarabu,wameamua kubaki na lile jina la zamani sana ambalo kimantiki ni title,yaani Mungu,..Allah(from El).

Kuna story kwamba Allah ilitumika kabla ya uislamu katika imani za wapagani wa Meccah,hii ni kweli ila tu cha msingi ni kwamba maana ya neno hilo ni Mungu/mungu,hivyo ni rahisi kuchanganya Allah yule wa wapagani ukadhani ndio huyu wa Qur'an,hapo ni kazi ya waislamu kuudhihirishia ulimwengu kuwa Allah wao si yule wa waarabu wapagani bali ni yule wa Ibrahim.
 
WATU BWANA HIVI KWA MFANO TUKASEMA, HIVI RAIS KIKWETE JAKAYA MRISHO .NI
Mcheshi,
Anahuruma
Ana penda wanyonge
ni mvumilivu
JE HAYA NI MAJINA MENGINE YA RAIS?
HIZO NI SIFA NA SI MAJINA MENGINE YA MUNGU.
MBONA MNATAKA KUTUPOTOSHA WAKATI UKWELI UKO WAZI TU .MUNGU ATABAKI KUWA MMOJA HAYA MAJINA YA YEHOVA,ALLAH,NK HAYAMBADILI YEYE.YEYE ATABAKI KUWA NI YEYE TU


Soma 2 Wakorintho 4:4 Uone nani mwingine anayeitwa Mungu..... Halafu nitaomba unijibu baada ya kusoma..
 
KIKOSIKAZI@ kwa mwenye kutaka kuelewa ameelewa kwa text yako .big up sannnnnna:thumbup::thumbup:
 
Si wewe tayari ushajiingiza kwenye reli.

It's more like aliyeanzisha thread ndo kaanzisha mabishano, mimi nimejibu tu. Kwa hiyo wa kubishana naye alikuwapo kabla sijajibu.

Mtu yeyote anayeleta neno "mungu" hapa JF tayari kashanialika kubishana naye, nashangaa unasema sijapata wa kubishana naye.

Hakuna Buzi la bura humu.
Nenda Kule Chit chat ukatafute mume!
 
emmanuel = Mungu pamoja na wanadamu = yesu ambaye freemasons wanamuita adonai
 
Mungu wetu ana majina 99, haya Triririka hapo!!
[TABLE="class: aaTable, align: center"]
[TR]
[TH="width: 50"]#[/TH]
[TH="width: 192"]Arabic[/TH]
[TH="width: 249"]English translation of 99 names of Allah[/TH]
[TH="width: 205"]Asmaa'u Allah Al-Hosna[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]1[/TD]
[TD="align: right"]الله[/TD]
[TD]The Greatest Name[/TD]
[TD]Allah[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]2[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الرحمن[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The All-Compassionate[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Ar-Rahman[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3[/TD]
[TD="align: right"]الرحيم[/TD]
[TD]The All-Merciful[/TD]
[TD]Ar-Rahim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]4[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الملك[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Absolute Ruler[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Malik[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5[/TD]
[TD="align: right"]القدوس[/TD]
[TD]The Pure One[/TD]
[TD]Al-Quddus[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]6[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]السلام[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Source of Peace[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]As-Salam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7[/TD]
[TD="align: right"]المؤمن[/TD]
[TD]The Inspirer of Faith[/TD]
[TD]Al-Mu'min[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]8[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المهيمن[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Guardian[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Muhaymin[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9[/TD]
[TD="align: right"]العزيز[/TD]
[TD]The Victorious[/TD]
[TD]Al-Aziz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]10[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الجبار[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Compeller[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Jabbar[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11[/TD]
[TD="align: right"]المتكبر[/TD]
[TD]The Greatest[/TD]
[TD]Al-Mutakabbir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]12[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الخالق[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Creator[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Khaliq[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13[/TD]
[TD="align: right"]البارئ[/TD]
[TD]The Maker of Order[/TD]
[TD]Al-Bari'[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]14[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المصور[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Shaper of Beauty[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Musawwir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15[/TD]
[TD="align: right"]الغفار[/TD]
[TD]The Forgiving[/TD]
[TD]Al-Ghaffar[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]16[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]القهار[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Subduer[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Qahhar[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]17[/TD]
[TD="align: right"]الوهاب[/TD]
[TD]The Giver of All[/TD]
[TD]Al-Wahhab[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]18[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الرزاق[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Sustainer[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Ar-Razzaq[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19[/TD]
[TD="align: right"]الفتاح[/TD]
[TD]The Opener[/TD]
[TD]Al-Fattah[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]20[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]العليم[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Knower of All[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-`Alim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]21[/TD]
[TD="align: right"]القابض[/TD]
[TD]The Constrictor[/TD]
[TD]Al-Qabid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]22[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الباسط[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Reliever[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Basit[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]23[/TD]
[TD="align: right"]الخافض[/TD]
[TD]The Abaser[/TD]
[TD]Al-Khafid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]24[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الرافع[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Exalter[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Ar-Rafi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]25[/TD]
[TD="align: right"]المعز[/TD]
[TD]The Bestower of Honors[/TD]
[TD]Al-Mu'izz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]26[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المذل[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Humiliator[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Mudhill[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]27[/TD]
[TD="align: right"]السميع[/TD]
[TD]The Hearer of All[/TD]
[TD]As-Sami[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]28[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]البصير[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Seer of All[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Basir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]29[/TD]
[TD="align: right"]الحكم[/TD]
[TD]The Judge[/TD]
[TD]Al-Hakam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]30[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]العدل[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Just[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-`Adl[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]31[/TD]
[TD="align: right"]اللطيف[/TD]
[TD]The Subtle One[/TD]
[TD]Al-Latif[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]32[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الخبير[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The All-Aware[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Khabir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]33[/TD]
[TD="align: right"]الحليم[/TD]
[TD]The Forbearing[/TD]
[TD]Al-Halim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]34[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]العظيم[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Magnificent[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Azim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]35[/TD]
[TD="align: right"]الغفور[/TD]
[TD]The Forgiver and Hider of Faults[/TD]
[TD]Al-Ghafur[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]36[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الشكور[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Rewarder of Thankfulness[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Ash-Shakur[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]37[/TD]
[TD="align: right"]العلي[/TD]
[TD]The Highest[/TD]
[TD]Al-Ali[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]38[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الكبير[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Greatest[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Kabir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]39[/TD]
[TD="align: right"]الحفيظ[/TD]
[TD]The Preserver[/TD]
[TD]Al-Hafiz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]40[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المقيت[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Nourisher[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Muqit[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]41[/TD]
[TD="align: right"]الحسيب[/TD]
[TD]The Accounter[/TD]
[TD]Al-Hasib[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]42[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الجليل[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Mighty[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Jalil[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]43[/TD]
[TD="align: right"]الكريم[/TD]
[TD]The Generous[/TD]
[TD]Al-Karim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]44[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الرقيب[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Watchful One[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Ar-Raqib[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]45[/TD]
[TD="align: right"]المجيب[/TD]
[TD]The Responder to Prayer[/TD]
[TD]Al-Mujib[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]46[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الواسع[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The All-Comprehending[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Wasi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]47[/TD]
[TD="align: right"]الحكيم[/TD]
[TD]The Perfectly Wise[/TD]
[TD]Al-Hakim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]48[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الودود[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Loving One[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Wadud[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]49[/TD]
[TD="align: right"]المجيد[/TD]
[TD]The Majestic One[/TD]
[TD]Al-Majid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]50[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الباعث[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Resurrector[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Ba'ith[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]51[/TD]
[TD="align: right"]الشهيد[/TD]
[TD]The Witness[/TD]
[TD]Ash-Shahid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]52[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الحق[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Truth[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Haqq[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]53[/TD]
[TD="align: right"]الوكيل[/TD]
[TD]The Trustee[/TD]
[TD]Al-Wakil[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]54[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]القوى[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Possessor of All Strength[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Qawiyy[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]55[/TD]
[TD="align: right"]المتين[/TD]
[TD]The Forceful One[/TD]
[TD]Al-Matin[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]56[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الولي[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Governor[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Waliyy[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]57[/TD]
[TD="align: right"]الحميد[/TD]
[TD]The Praised One[/TD]
[TD]Al-Hamid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]58[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المحصى[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Appraiser[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Muhsi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]59[/TD]
[TD="align: right"]المبدئ[/TD]
[TD]The Originator[/TD]
[TD]Al-Mubdi'[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]60[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المعيد[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Restorer[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Mu'id[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]61[/TD]
[TD="align: right"]المحيي[/TD]
[TD]The Giver of Life[/TD]
[TD]Al-Muhyi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]62[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المميت[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Taker of Life[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Mumit[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]63[/TD]
[TD="align: right"]الحي[/TD]
[TD]The Ever Living One[/TD]
[TD]Al-Hayy[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]64[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]القيوم[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Self-Existing One[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Qayyum[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]65[/TD]
[TD="align: right"]الواجد[/TD]
[TD]The Finder[/TD]
[TD]Al-Wajid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]66[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الماجد[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Glorious[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Majid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]67[/TD]
[TD="align: right"]الواحد[/TD]
[TD]The One, the All Inclusive, The Indivisible[/TD]
[TD]Al-Wahid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]68[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الصمد[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Satisfier of All Needs[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]As-Samad[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]69[/TD]
[TD="align: right"]القادر[/TD]
[TD]The All Powerful[/TD]
[TD]Al-Qadir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]70[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المقتدر[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Creator of All Power[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Muqtadir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]71[/TD]
[TD="align: right"]المقدم[/TD]
[TD]The Expediter[/TD]
[TD]Al-Muqaddim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]72[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المؤخر[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Delayer[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Mu'akhkhir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]73[/TD]
[TD="align: right"]الأول[/TD]
[TD]The First[/TD]
[TD]Al-Awwal[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]74[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الآخر[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Last[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Akhir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]75[/TD]
[TD="align: right"]الظاهر[/TD]
[TD]The Manifest One[/TD]
[TD]Az-Zahir[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]76[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الباطن[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Hidden One[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Batin[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]77[/TD]
[TD="align: right"]الوالي[/TD]
[TD]The Protecting Friend[/TD]
[TD]Al-Wali[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]78[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المتعال[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Supreme One[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Muta'ali[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]79[/TD]
[TD="align: right"]البر[/TD]
[TD]The Doer of Good[/TD]
[TD]Al-Barr[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]80[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]التواب[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Guide to Repentance[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]At-Tawwab[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]81[/TD]
[TD="align: right"]المنتقم[/TD]
[TD]The Avenger[/TD]
[TD]Al-Muntaqim[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]82[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]العفو[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Forgiver[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-'Afuww[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]83[/TD]
[TD="align: right"]الرؤوف[/TD]
[TD]The Clement[/TD]
[TD]Ar-Ra'uf[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]84[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]مالك الملك[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Owner of All[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Malik-al-Mulk[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]85[/TD]
[TD="align: right"]ذو الجلال و الإكرام[/TD]
[TD]The Lord of Majesty and Bounty[/TD]
[TD]Dhu-al-Jalal wa-al-Ikram[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]86[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المقسط[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Equitable One[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Muqsit[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]87[/TD]
[TD="align: right"]الجامع[/TD]
[TD]The Gatherer[/TD]
[TD]Al-Jami'[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]88[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الغني[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Rich One[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Ghani[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]89[/TD]
[TD="align: right"]المغني[/TD]
[TD]The Enricher[/TD]
[TD]Al-Mughni[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]90[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]المانع[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Preventer of Harm[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Mani'[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]91[/TD]
[TD="align: right"]الضار[/TD]
[TD]The Creator of The Harmful[/TD]
[TD]Ad-Darr[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]92[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]النافع[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Creator of Good[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]An-Nafi'[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]93[/TD]
[TD="align: right"]النور[/TD]
[TD]The Light[/TD]
[TD]An-Nur[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]94[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الهادي[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Guide[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Hadi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]95[/TD]
[TD="align: right"]البديع[/TD]
[TD]The Originator[/TD]
[TD]Al-Badi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]96[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الباقي[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Everlasting One[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Al-Baqi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]97[/TD]
[TD="align: right"]الوارث[/TD]
[TD]The Inheritor of All[/TD]
[TD]Al-Warith[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]98[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea, align: right"]الرشيد[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]The Righteous Teacher[/TD]
[TD="bgcolor: #eaeaea"]Ar-Rashid[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]99[/TD]
[TD="align: right"]الصبور[/TD]
[TD]The Patient One[/TD]
[TD]As-Sabur[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

huyu na JEHOVA watakuwa tofauti kabisa.
 
Habari za wakati huu....
Naomba kufahamu haya majina mengine Mungu, je yalitokana na nini? Kwani nisomapo mafungu tajwa hapo sikutani ya hayo majina bali ni maana pekee...
1. Adonai ‐ Mungu Mwenye enzi yote ‐ Mwa 15:2‐8, Kut 6:2‐3

2. El‐Ohim ‐ Mungu Muumbaji ‐ Mwa 33:20, Kol 1:16‐17

3. El‐Elyon ‐ Mungu Aliye juu zaidi ‐ Mwa14:18, Dan 4:34

4. El‐Gibbor ‐ Mungu Mwenye Nguvu ‐ Isa 9:6, Zab 147:5

5. El‐Hai ‐ Mungu Aliye Hai/Anaishi ‐ Josh 3:10, 1Sam17:26

6. El‐Olam ‐ Mungu wa Milele ‐ Ufu 4:8, Kut 3:14

7. El‐Roi ‐ Mungu Aonaye kila kitu ‐ Mith 15:3, Zab 32:8

-
8. El‐Shaddai ‐ Mungu Mtoshelezi ‐ Mdo 17:28, Kumb 8:4

9. Jehovah ‐ Ajitegemeaye kuwepo ‐Kut 6:2‐8, Mdo 17:24‐25

10. Jehovah Shalom ‐Mungu Amani yetu ‐ Amu 6:22‐24

11. Jehovah Rapha ‐ Mungu Atuponyaye ‐ Kut 15:26

12. Jehovah Jireh ‐ Mungu Mtoaji wetu ‐ Mwa 22: 8, 14
-

13. Jehovah Nissi ‐ Mungu Ushindi wetu ‐ Kut 14:13‐14

14. Jehovah Saboath ‐ Bwana wa Majeshi ‐ Malaki 3:7

15. Jehovah Shammah ‐ Bwana ni Aliyepo ‐ Kut 3:14

16. Jehovah Rohi ‐ Bwana ni Mchungaji wangu ‐ Zab 23:1

17. Jehovah Tsidkenu ‐ Bwana ni Haki yetu ‐ Yer 23:6

18. Jehovah Mekaddishem ‐ Bwana Atutakasaye ‐ Kut 31:13

Ukiisoma vizuri hiyo mistari, utaona ya kuwa kwa mfano apo kwenye kutoka 17:15,musa akapaita mahali pale yehova nisi, so hayo sio majina ya Mungu ni majina ya mahali
 
Back
Top Bottom