Tanganyikana
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,160
- 364
Hivi huyu aliyepost huu uzi nae ni great thinker!!!? Full rubish
Upuuzi mtupu ameuweka hapa...hii ccm inawaharibu sana watoto,
Hivi huyu aliyepost huu uzi nae ni great thinker!!!? Full rubish
Nasikia sahizi anajiita john pombe Edward ngoyayi Lowassa.[/QUOTE
JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
hivi huyu aliyepost huu uzi nae ni great thinker!!!? Full rubish
Aaahhh wapi,hakuna atakae weza hilo,mbona unawapa mtihani mgumu sana,jamaa ni fata upepo hawaaa
toroitich ngoyai lowasa
Nasikia sahizi anajiita john pombe Edward ngoyayi Lowassa.[/QUOTE
JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Umesahau pushapuuuu
Anaitwa Ma-tako yako.WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje
anataka kujua je unamkubali kwa kumfahamu vizur au Unamkubali kwa kuwa fulani anamkubali?
Afrika ina tatizo kubwa sana,hv unaanzisha uzi kuhusu jina wakati watu wanasubiri kuichinja CCM,hz ndio akili za zama za mawe za akina Bulembo.
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje