Majina manne ya Lowassa ni yapi?

Majina manne ya Lowassa ni yapi?

Status
Not open for further replies.

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje
 
Aaahhh wapi,hakuna atakae weza hilo,mbona unawapa mtihani mgumu sana,jamaa ni fata upepo hawaaa
 
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje


Kweli sisi makamanda hatumjui kabisa.
 
Sana sana watatukana tuu,we utaona,atakae jitahidi sana majina mawili tuu
 
Labda ungetueleza hayo majina yake yana uhusiano upi na kuchaguliwa kwake?kwamba jina linawakilisha ubora wa kiongozi au vipi sijakuelewa.
 
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje

Yaani ubongo mwingine,hili nalo no hoja kwa waziri MKUU mstaafu.
 
Lumumba naona mmeishiwa chakusema nasasa hadi chakuandika. Majina yaliopo kwa ofc ya Lubuva yanatutosha hayo mengine nenda nayo ww.
 
It masaki imekata pumzi. Na kampeni ndo zimeanza kwa ukawa
 
Labda ungetueleza hayo majina yake yana uhusiano upi na kuchaguliwa kwake?kwamba jina linawakilisha ubora wa kiongozi au vipi sijakuelewa.

anataka kujua je unamkubali kwa kumfahamu vizur au Unamkubali kwa kuwa fulani anamkubali?
 
Ukiwa hawana lao tena, watabakia katika vitabu vya kumbukumbu
 
Mbowe mzee wa kupiga dili afu anawabuluza watu kama kina Mbatia.
 
Si nilisema hakuna atake jibu,wanahangaika sasa katika google na kuulizana kujua!Unajua ndo maana Mkapa aliita kale kajina
 
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje
Nasikia sahizi anajiita john pombe Edward ngoyayi Lowassa.
 
It masaki mmepigwa mkwara na huyo february....mwambien manchester united haijawi poteza ubingwa inapokuwa kilelen kwenye juma la mwanzo wa october....naona liverpool mmesajil toothless dogg kina dr.mihogo na pr.pumba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom