NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,966
NA LA MPWAPWA,KIBAKWE HAJAFIKA HUYU! UKISAFIRI KWENDA HUKO UANDAE NA KATON ZA DICLOMOVE ZAKUTOSHA!Wewe taahira ulishashuhudia jimbo la Lusinde wewe? Unalijua jimbo la Kishapu? Unalifahamu jimbo la Kongwa? hebu tuwe fair aiseee!! Kama huna ubongo wa binadamu bora ukajikalia kimya haki ya nani!!
Kazi kweliKwa akili yako ulitaka wachaguliwe hao wanaoonyesha mifereji ya makalio hapo pichani!?
Amekufa?Roho ya uuwaji itakufanya uweweseke hadi mwisho wa uhai wako,comment yangu ni hii:
Kwa hiyo kwa sababu huwezi kushindana na Mh.Lissu jukwaani ndiyo ukaamua umuuwe ili uchukue jimbo kiulaini?Jipange upya Lissu yu hai na anarudi na nguvu ya ajabu.
Acha kuwewekeka.
ccm oye..hapa ndo nagundua kwanin mkulu anapenda izi mambo...kumbe kaambukizwa na mashabiki wake
Usilinganishe ng'ombe na hawa mazwazwa, tunapata maziwa, nyama, mbolea kutoka huyu mnyama. CCM unapata nini?
Lissu ni kaka wa Taifa Wapiga kura wanajua kwamba Serikali ndiyo inapaswa kujenga miuondo mbinu nakadhalikaWadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
Yaani siamin kabisa mpaka hii leo Tanzania kuna mapimbi kama huyu mleta hii maada???.. Mmhhh [emoji40] [emoji2] [emoji109] [emoji115]JINGA JINGINE NI HILI HAPA!
Fully nonsense. Kwani Chadema ndio wanaokusanya kodi?Wadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
wapo aiseeYaani siamin kabisa mpaka hii leo Tanzania kuna mapimbi kama huyu mleta hii maada???.. Mmhhh [emoji40] [emoji2] [emoji109] [emoji115]
JAMAA limevaa mewani kabisa lakini linakuja naujinga kama huu.sijui kwanini serekali pamoja nawana ccm huwa wanawachekea wajinga kama hawa.Baada ya kushindwa kumuua Lissu umekuja na mapambio yako hapa.
Hayajutagi haya yamezoea mkuu.Ktk Uzi ambao mtoa post anajuta ni huu,
Baba huwa anafamlia sasa hili linafamlia ??haya ndo yale yanaishi hotely.Wenzio wanaweka na namba za simu.lione kwanza libaba lizima hata aibu huna,mkitukanwa mnaanza kulialia ooh vijana hawana adabu sjui nn.