Ni vyema mkawa na sababu na vigezo kwa majimbo mliyoainisha. Mtazamo wenu nyie wapigakura wa mtandaoni ni tofauti na wana majimbo.
huwezi amini ccm ina mbunge mchawi majimarefu mwanga mkubwa yule!Tusiishie kutaja majina tu sababu nazo muhimu.Arusha mjini. Lema Godbless yuko kimwili lakili kaiacha kabatini.Arusha mjini ikijulikana geneva ya Afrika siku hizi vurugu mtindo mmoja mikutano mikubwa ya kimataifa haifanyiki tena.Makao makuu ya afrika mashariki mikutano inafanyika Dar kisha vurugu za Lema na vibaka wake.Lema kaishia kidato cha pili Kibohehe.Huwezi amini mji wa kimataifa unawakilishwa na mbunge kihiyo.
Hapo kwenye red yupo lakini kimatendo ni kama hayupo..teh teh si unajua ni Papa Mteketa.Segerea
Bumbuli
Njombe kaskazini
Kilombero
I suggest you go back to class kama hujui hata kuwa uwakilishi wa watu hautegemei kiwango cha elimu..pole.Tusiishie kutaja majina tu sababu nazo muhimu.Arusha mjini. Lema Godbless yuko kimwili lakili kaiacha kabatini.Arusha mjini ikijulikana geneva ya Afrika siku hizi vurugu mtindo mmoja mikutano mikubwa ya kimataifa haifanyiki tena.Makao makuu ya afrika mashariki mikutano inafanyika Dar kisha vurugu za Lema na vibaka wake.Lema kaishia kidato cha pili Kibohehe.Huwezi amini mji wa kimataifa unawakilishwa na mbunge kihiyo.
Tusiishie kutaja majina tu sababu nazo muhimu.
Arusha mjini. Lema Godbless yuko kimwili lakili kaiacha kabatini.Arusha mjini ikijulikana geneva ya Afrika siku hizi vurugu mtindo mmoja mikutano mikubwa ya kimataifa haifanyiki tena.Makao makuu ya afrika mashariki mikutano inafanyika Dar kisha vurugu za Lema na vibaka wake.
Lema kaishia kidato cha pili Kibohehe.Huwezi amini mji wa kimataifa unawakilishwa na mbunge kihiyo.
Kawe
Arusha mjini
Ina maana sababu nilizotoa hukuzisoma.Mbunge wetu kihiyo,vuruguman,chaliiiiii.Jamaa anapenda vurumai hadi anagombana na madiwani wa chama chake bado kidogo utasikia kagombana na Baba,Mama,Mke wake.Ohooo Lema nomaaaaaaaaaa.
Hana makali.mbona shinyanga mjini yupo masele mbunge,au keshakufa au kajivua?!
Ndugu wana jf majimbo yafuatayo yako hayana wabunge na uchaguzi unatakiwa ufanyike haraka iwezekanavyo:
1. Rorya
2. Shinyanga mjini
3. Tarime
4. Igunga
kama mnafahamu majimbo mengine yasiyo na wabunge muendelee kuyataja.
Nawasilisha.
kondoa kaskazini si yule aliyeomba rushwa??Kondoa kus &kaz