johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Mbunge wa Arusha mjini anesema zamani haya mambo walikuwa wakifanyiwa Wabunge wa Upinzani lakini sasa anafanyiwa.yeye
Gambo anesema viongozi wa CCM Wilaya na mkoa wa Arusha wamekuwa wakimtenda kana kwamba yeye ni Mbunge wa Upinzani na Hii si Sawa kabisa
Source Jambo TV
Tundu Lisu: Mkitumaliza Sisi mtaanzana Wenyewe kwa Wenyewe!
Gambo anesema viongozi wa CCM Wilaya na mkoa wa Arusha wamekuwa wakimtenda kana kwamba yeye ni Mbunge wa Upinzani na Hii si Sawa kabisa
Source Jambo TV
Tundu Lisu: Mkitumaliza Sisi mtaanzana Wenyewe kwa Wenyewe!