Majimbo haya nayo yagawanywe

Majimbo haya nayo yagawanywe

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Kila penye Jimbo ambalo hakukuwa na upinzani kwa CCM,Serikali iligawanya Jimbo husika ili kuongeza nafasi za 'ajira' na idadi ya Wabunge wa kutajataja-sisi tuna wabunge mia moja na...

Mfano, Jimbo la Bagamoyo lililokuwa chini ya Jakaya Kikwete aliyekuwa hana mpinzani kama wagombea wa TANU,liligawanywa kuwa Chalinze na Bagamoyo. Pia Jimbo la Kibaha liligawanywa kuwa Kibaha Mjini na Kibaha Vijijini. Ipo mifano mingine mingi.Hata jimbo la (Temeke?) limezaa Ukonga na Segerea.

Sasa wakati umefika kwa majimbo ya Arusha Mjini,Mbeya Mjini,Iringa Mjini,Musoma Mjini,Ubungo na Kawe kugawanywa.Yote ni makubwa kama yaliyokwisha kugawanywa.Yote yana idadi kubwa ya wananchi wapiga kura. Muda ni huu
 
Hawathubutu sababu watawaongezea chadema wabunge mf.hapa arusha mjini wangeunda majimbo mawili ya Sombetini na Kimandolu.
 
Kila penye Jimbo ambalo hakukuwa na upinzani kwa CCM,Serikali iligawanya Jimbo husika ili kuongeza nafasi za 'ajira' na idadi ya Wabunge wa kutajataja-sisi tuna wabunge mia moja na...

Mfano, Jimbo la Bagamoyo lililokuwa chini ya Jakaya Kikwete aliyekuwa hana mpinzani kama wagombea wa TANU,liligawanywa kuwa Chalinze na Bagamoyo. Pia Jimbo la Kibaha liligawanywa kuwa Kibaha Mjini na Kibaha Vijijini. Ipo mifano mingine mingi.Hata jimbo la (Temeke?) limezaa Ukonga na Segerea.

Sasa wakati umefika kwa majimbo ya Arusha Mjini,Mbeya Mjini,Iringa Mjini,Musoma Mjini,Ubungo na Kawe kugawanywa.Yote ni makubwa kama yaliyokwisha kugawanywa.Yote yana idadi kubwa ya wananchi wapiga kura. Muda ni huu

Nilpo bold mkuu ni UKONGA ndo iliyogawanywa na kupatikana jimbo la SEGEREA.
 
Haya ndo mambo ambayo katiba mpya inatakiwa kuyaweka sawa. Vigezo vya kugawa majimbo, wilaya na hata mikoa haviko wazi na havieleweki. Matokeo yake bajeti kubwa inaishia kwenye mambo ya utawala badala ya kutoa huduma muhimu kama maji, afya na bara bara.
 
Bila kusahau jimbo la solwa la shinyanga ni kubwa mno!
 
Hii tabia ya kugawanya gawanya ili wapate ulaji siipendi hata kidogo!! Nilitegemea wasogeze madaraka kwa watendaji wa vijiji au kata badala ya kuongeza watumbuaji wa wakodi ambao wakienda mjengoni kazi kubwa ni kusema NDIYOOOOOO na kulala tu bila ufanisi wowote. Siungi hii hoja, kama ningekuwa na madaraka, hawa viongozi wa chini kabisa ndo wakupewa rungu la kusimamia shughuli zote.
Mbuge mmoja anatosha katika kila majimbo mawili yalivyo sasa.
 
nazani hapo atakuwa aligafirika kidogo!!
Sikuwa na uhakika.Ndio maana niliweka kwenye mabano pamoja na alama ya kuuliza kuonesha hilo. Huo ndio uandishi uliotukuka...si kama wa magamba
 
Tunategemea wilaya ndio yawe majimbo ili kila jimbo ligombewe na mwanaume na mwanamke ili moja kuondia viti maalum, pili kupata 50-50% ya uwiano. Pili kuondoa by election iwapo mbunge atafariki atabaki mmoja kuondoa gharama za by election. Hivyo majimbo yatakuwa re defined kwa muundo wa wilaya kwenye katiba mpya na kila chama kitasimamisha wagombe wawili kwa wilaya zilizopo x 2 ni idadi ndogo kuliko idadi ya wabunge iliyopo
 
Tunategemea wilaya ndio yawe majimbo ili kila jimbo ligombewe na mwanaume na mwanamke ili moja kuondia viti maalum, pili kupata 50-50% ya uwiano. Pili kuondoa by election iwapo mbunge atafariki atabaki mmoja kuondoa gharama za by election. Hivyo majimbo yatakuwa re defined kwa muundo wa wilaya kwenye katiba mpya na kila chama kitasimamisha wagombe wawili kwa wilaya zilizopo x 2 ni idadi ndogo kuliko idadi ya wabunge iliyopo
Kwanza, nikupongeze kwa kuonesha kuwa wewe ni CCM kwelikweli kwa kuchapia sehemu zenye wekundu.Kweli nyinyi vilaza.Pili,haya ni mawazo yako au ya chama chako cha magamba? Umeshayatoa mbele ya Tume ya Jaji Warioba? Unadhani yanafaa kwa Tanzania ijayo? Hivi ni lazima kuwa na Wabunge wanawake? Anayeweza si agombee jimboni tu?
 
Tunategemea wilaya ndio yawe majimbo ili kila jimbo ligombewe na mwanaume na mwanamke ili moja kuondia viti maalum, pili kupata 50-50% ya uwiano. Pili kuondoa by election iwapo mbunge atafariki atabaki mmoja kuondoa gharama za by election. Hivyo majimbo yatakuwa re defined kwa muundo wa wilaya kwenye katiba mpya na kila chama kitasimamisha wagombe wawili kwa wilaya zilizopo x 2 ni idadi ndogo kuliko idadi ya wabunge iliyopo
ni mawazo mazuri yakizingatiwa kwenye katiba mpya,ingawa changamoto hazikosekani kama mfano wakifariki wote wawili je? Pia mgongano wa utendaji kazi miongoni mwa hao wabunge wawili.
 
Tunategemea wilaya ndio yawe majimbo ili kila jimbo ligombewe na mwanaume na mwanamke ili moja kuondia viti maalum, pili kupata 50-50% ya uwiano. Pili kuondoa by election iwapo mbunge atafariki atabaki mmoja kuondoa gharama za by election. Hivyo majimbo yatakuwa re defined kwa muundo wa wilaya kwenye katiba mpya na kila chama kitasimamisha wagombe wawili kwa wilaya zilizopo x 2 ni idadi ndogo kuliko idadi ya wabunge iliyopo
Kwa maneno haya, pengine katiba mpya ishaandikwa mengine ni sarakasi tu. CCM ni sehemu tu ya vikundi vya watanzania wanaotoa maoni, why looks like tayari mmeshaamua?
 
Hawawezi kuyagawanya maana hayana PEMBE ZA NDOVU

jimbo la mbeya mjini kipindi lipo ccm walitaka kuligawa yawe matatu. Yaani uyole litakalohusisha uyole mpaka mwanjelwa, mbeya mjini-mwanjelwa mpaka simike na kule upande wa kuelekea soko matola na iyunga ambayo ingeanzia simike mpaka iwambi. Nahisi mpango huo umefutwa baada ya kuona moto wa kule haufai kwani kila sehemu hapashikiki.
 
Mh. Mwigulu una mawazo mazuri katika hili la majimbo ya ubunge. Naamini ulishayawasilisha katika Tume ya marekebisho ya Katiba.
 
Tunategemea wilaya ndio yawe majimbo ili kila jimbo ligombewe na mwanaume na mwanamke ili moja kuondia viti maalum, pili kupata 50-50% ya uwiano. Pili kuondoa by election iwapo mbunge atafariki atabaki mmoja kuondoa gharama za by election. Hivyo majimbo yatakuwa re defined kwa muundo wa wilaya kwenye katiba mpya na kila chama kitasimamisha wagombe wawili kwa wilaya zilizopo x 2 ni idadi ndogo kuliko idadi ya wabunge iliyopo

ikiwa hivyo itatusaidia kuondoa wapuuzi, wauaji, wezi benki kuu, waongoza kampeni za majimbo mengine kiuaji uaji huku wakiiba wake wa makada wenzao, wezi wa ma box ya kura kama Maige kule Msalala, watuma watu kufanya fujo kwenye kampeni za wengine!
 
jimbo la mbeya mjini kipindi lipo ccm walitaka kuligawa yawe matatu. Yaani uyole litakalohusisha uyole mpaka mwanjelwa, mbeya mjini-mwanjelwa mpaka simike na kule upande wa kuelekea soko matola na iyunga ambayo ingeanzia simike mpaka iwambi. Nahisi mpango huo umefutwa baada ya kuona moto wa kule haufai kwani kila sehemu hapashikiki.

ni wapumbavu sana hawa! Mungu yupo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom