Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Majimbo ambayo CCM hawana chao 2015

Nikukumbushe

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
2,602
Reaction score
408
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo ccm wataya kabidhi upinzani
1.jimbo la Aeshi.
2.jimbo la wassira
3.jimbo la mkulo
4.Jimbo la magufuli
5.Jimbo la kafumu
6.jimbo la mkuchika
7.jimbo la makinda
8.jimbo la Lukuvi
9.jimbo la Ndugayi
10.jimbo la Nkamia
mengine unaweza kuongeza.................!
 
kibajaji..magembe....olesendeka...loliondo
 
Jimbo la Mwigulu
Jimbo la Komba
 
Acha kujifurahisha.Lete uchambuzi wa Kina ili tuweze kutathmini Ukweli wa Kauli yako.
 
Mwakyembe,lema,zungu,mnyika,mtemvu na cheyo.
 
Kwa Lukuvi napinga kabisa lazima Arudi bungeni msijifariji na maneno ya Chiku. Chiku hata akigombea udiwani kule hapiti
 
Kwa Lukuvi napinga kabisa lazima Arudi bungeni msijifariji na maneno ya Chiku. Chiku hata akigombea udiwani kule hapiti

Lukuvi anatumia nguvu ya dola kunyamazisha watu.Napinga jimboa lazima liende upinazan
 
Back
Top Bottom