Majimbo 19 marekani yaomba kujitenga

Majimbo 19 marekani yaomba kujitenga

Currently, the most popular petition is from Texas, which voted for Mr Romney by some 15 percentage points more than it did for the Democratic incumbent.
In total, more than 20 petitions have been filed. One for Texas has reached the 25,000-signature threshold at which the White House promises a response.
Source: BBC News - US election: Unhappy Americans ask to secede from US

==================================================================================================
Ngoja tuone ikulu ya Marekani itajibu nini kuhusu petition hizi.
 
Each state must get 25,000 signatures by Dec 10, 2012 to be considered by President Obama. Is it another USSR breaking down?

View attachment 71096


Chash,
Usuwadanganye wanamtandao, kujitenga kutoka kwenye Muungano wa USA ni kinyume cha katiba therefore kinyume cha sheria, na waliojaribu kufanya hivyo kwa kutumia mtutu miaka ya 1860s walishindwa na ikawa ndio mwisho wa hilo jaribio.

Petition zinazoandikwa na watu ni za kujifurahisha roho tu hasa kwa wale walioshindwa uchaguzi. Lakini hazina uzito wowote kisheria, kwa hiyo wale wanaofikiri USA itakuwa kama USSR watakuwa wanajidanganya kwani Muungano wa USA haukuwa wa kulazimishana kama USSR na sheria yake hairuhusu kujitoa kwa petition au hata kwa mtutu. Ukishaingia kwenye ndoa ya USA, hakuna talaka.
 
Currently, the most popular petition is from Texas, which voted for Mr Romney by some 15 percentage points more than it did for the Democratic incumbent.
In total, more than 20 petitions have been filed. One for Texas has reached the 25,000-signature threshold at which the White House promises a response.
Source: BBC News - US election: Unhappy Americans ask to secede from US

==================================================================================================
Ngoja tuone ikulu ya Marekani itajibu nini kuhusu petition hizi.

Mu-Israel,
White house ina-respond tu lakini sio kuwa ina-solution. Muungano sio suala la Rais ni suala la katiba. Katiba hairuhusu kwa hiyo hiyo ndio sheria.
 
ECCLESESTIES 3:1-8
maneno matakatifu yanasema "EVERY THING HAS ITS TIME"
A time to be BORN and a time to DIE
A time to PLANT and a time to PLUNK
A time to WAR and a time of PEACE
 
Chash,
Usuwadanganye wanamtandao, kujitenga kutoka kwenye Muungano wa USA ni kinyume cha katiba therefore kinyume cha sheria, na waliojaribu kufanya hivyo kwa kutumia mtutu miaka ya 1860s walishindwa na ikawa ndio mwisho wa hilo jaribio.

Petition zinazoandikwa na watu ni za kujifurahisha roho tu hasa kwa wale walioshindwa uchaguzi. Lakini hazina uzito wowote kisheria, kwa hiyo wale wanaofikiri USA itakuwa kama USSR watakuwa wanajidanganya kwani Muungano wa USA haukuwa wa kulazimishana kama USSR na sheria yake hairuhusu kujitoa kwa petition au hata kwa mtutu. Ukishaingia kwenye ndoa ya USA, hakuna talaka.

Tusubirie jibu kutoka kwa Obama. Kwenye katiba ya marekani ipo kwamba ikifika siku katiba itakuwa haifai jimbo lolote na ibainike wengi kwenye hilo jimbo watakuwa wamekubali kujitenga kwa sababu za msingi basi litaruhusiwa kutoka kwenye muungano. Usishangae hii ikitokea kuwa chanzo cha Obama kulazimishwa kujiuzulu.
 
Wajitenge kabisa!!! Hongera Afri-Americans na Hispanics!!! Zaeni muongeze dunia na mwishowe mtaitawala marekani milele!! Si waliwatesa na kuwanyanyasa sana enzi zile mkiwa minority? Weupe endeleeni kuzaa mtoto mmoja au msizae kabisa,, na muendelee kuwa minority mpaka ifike mahali nanyi muanze to fight for minority kama walivyofanya waamerika weusi na wasio wateule wa marekani!!! Ila pia Obama alichaguliwa na wazungu wengi tu mbona? Naona haoa wana lao jambo!! Uamsho ziko kila pande za dunia! Obama ongeza hizo green cards, badala ya 50,000 weka 500,000 kila mwaka!!! Na wakiishi kwa nidhamu miaka 5 fanya full citizen!!! Au wenye kujua sheria zake ukishapata green card uko eligible to vote immediately? Mtujuze!!
 
I too sing America

i am the darker brother
They send me to eat in kitchen
when company comes
But i laugh
And eat well
And grow strong
Tomorrow
i will be at the table
When company comes
Nobody will dare
say to me
"Eat in the kitchen" then
Besides,
They will see how beatyful i am
and be ashamed.......
I too am America.
(Poem by American poet Langstone Hughes.) Obamas re election defining moment American political history, things will never be same again.
 
Wakuu,
The situation is very perplexing that more and more American citizens are petitioning the White House to release their states from the holy union. What is this all about?, is it in anyway or form related to the just ended presidential election?

Pls'e continue....:A S 114:

Nearly half of the US threatens to secede

Get short URL
email story to a friend print version
Published: 12 November, 2012, 23:55


TAGS:
Scandal, Politics, History, USA

chris-keane-reuters.n.jpg


Reuters / Chris Keane

As the saying goes: if you can’t beat ‘em, join ‘em. Some Americans upset with the results of Election Day don’t quite agree, and now residents from 20 states have filed petitions with the White House to secede from the country.
Louisiana became the first of the (as of now) 50 united states that managed to collect enough signatures to have their petition for secession added to the White House’s website last week, and so far they’ve had no problem finding company. A petition asking for the government to “Peacefully grant the State of Louisiana to withdraw from the United States of America and create its own NEW government” garnered more than 14,000 signatures since going live on November 7, and so far 19 other states have managed to attract similar success.
According to the terms of participation on WhiteHouse.gov, the website for the executive branch of the United States will make any petition searchable if it can collect 150 signatures within one months’ time, and collecting 25,000 signatures will necessitate an official response. So far Texas seems to be in the running to be the first state to receive a response from the commander-in-chief, with 21,777 signees asking for secession since their petition went live on November 9, barely 48 hours after US President Barack Obama claimed a victory in his bid for re-election.
In all, 20 states have so far broken the 150 signature threshold, mostly sticking closely to the script included in the first petition published by “Michael E” of Slidell, LA, who quotes the Declaration of Independence in his plea to once again separate the public from a power that, according to thousands of residents, doesn’t represent what is best for the people anymore.
"When in the Course of human events, it becomes necessary for one people to dissolve the political bands which have connected them with another, and to assume among the powers of the earth, the separate and equal station to which the Laws of Nature and of Nature's God entitle them, a decent respect to the opinions of mankind requires that they should declare the causes which impel them to the separation,” Michael writes. "…Governments are instituted among Men, deriving their just powers from the consent of the governed, that whenever any Form of Government becomes destructive of these ends, it is the Right of the People to alter or abolish it, and institute new Government…"
In the case of Florida, where 6,271 signees have added their names between November 10 and November 12, the creator called on a quip from founding father Benjamin Franklin to explain his motives, quoting him as saying, “They who can give up essential liberty to obtain a little temporary safety, deserve neither liberty nor safety.”
“Scott E” of Columbia Falls, MT also quoted Mr. Franklin in creating a petition that asks for the peaceful secession of Montana, adding that residents there “do see that in today's world the Federal Government has not led our citizens justly and with honor.” In just two days, that petition has been signed more than 4,000 times.
In the Lone Star State, only 3,000 or so Texans are needed to cross that 25,000 threshold. According to their petition started by Arlington, TX’s “Micah E,” “The US continues to suffer economic difficulties stemming from the federal government's neglect to reform domestic and foreign spending.”
“Given that the state of Texas maintains a balanced budget and is the 15th largest economy in the world, it is practically feasible for Texas to withdraw from the union, and to do so would protect its citizens' standard of living and re-secure their rights and liberties in accordance with the original ideas and beliefs of our founding fathers which are no longer being reflected by the federal government,” he writes, adding that the National Defense Authorization Act (NDAA) and Transportation Security Administration (TSA) have blatantly abused the civil rights of Texans and other Americans, and cessation could be the only solution.
Should the threats of secession materialize past a flash in the pan on the White House’s website, the United States is likely to have a new addition sooner or later anyway. On Nov. 6, voters in Puerto Rico elected to petition US Congress for statehood, putting them on track to perhaps becoming the fifty-first member of the union.
The states that have so far accumulated more than 150 signatures on WhiteHouse.gov include Alabama, Arkansas, Colorado, Florida, Indiana, Kentucky, Louisiana, Michigan, Mississippi, Montana, New Jersey, New York, North Carolina, North Dakota, Oregon, Tennessee and Texas. Georgia, Missouri and South Carolina have all crossed the 150 mark on two separate petitions posted online.
 
You will never find this in mainstream media,...the CNN, BBC, Al Jazeera and the like even ..Also .Debka will not let you know this issue.
 
Angalia website ya White House, kwenye web page ya petitions, utaziona petition zote hizo, na watu wameshaanza ku-sign hizo petitions.
Kwa wenzetu marekani, democrasia imekomaa.
Tembelea : https://petitions.whitehouse.gov/petitions


Ni kweli democrasia iko juu huko, swali ninalojiuliza hasa nikizingatia kusambaratika kwa Urusi, Je marekani nao watapigana vita?

Kwasababu kugawanyika si suala jepesi na rahisi kama linavyojadiliwa na kuchukuliwa hapa jamnvin. Pamoja na kusaini nk bado

safari ni ndefu sana kushabikia jambo hilo na ufanisi wa mgawanyiko huo bado kitendawili kilicho na majibu mepesi namengi ya

hayo majibu zaidi zaidi niyakufikirika.
 
Ni kweli democrasia iko juu huko, swali ninalojiuliza hasa nikizingatia kusambaratika kwa Urusi, Je marekani nao watapigana vita?

Kwasababu kugawanyika si suala jepesi na rahisi kama linavyojadiliwa na kuchukuliwa hapa jamnvin. Pamoja na kusaini nk bado

safari ni ndefu sana kushabikia jambo hilo na ufanisi wa mgawanyiko huo bado kitendawili kilicho na majibu mepesi namengi ya

hayo majibu zaidi zaidi niyakufikirika.

Mara ya mwisho lilipotokea jambo kama hili la kujitenga kwa majimbo Marekani, kulitokea vita.
Sijui safari hii itakuwaje ??

Angalia hapa....

The South Secedes
and The Civil War Begins
Civsol2.GIF
Civdoc1.GIF

by George
When Abraham Lincoln was elected as president in 1860. Southerners thought the government was becoming too strong. They did not think the government had the right to tell them how they should live. Southerners felt if they stayed in the United States, the North would control them.
Some southern states decided they had no choice. They decided to secede, or leave, the United States. South Carolina was the first to leave the Union and form a new nation called the Confederate States of America. Four months later, six other states seceded. They were Georgia, Florida, Alabama, Mississippi, Texas and Louisiana. Later Virginia, Arkansas, North Carolina, and Tennessee joined them. The people of these states elected Jefferson Davis as president of the Confederacy.
The northern states were called the Union. President Lincoln said he would fight to keep the southern states as part of the United States. There were Union forts on Confederate land. The Confederates wanted Union soldiers to leave these forts. In Charleston, South Carolina there was a Union fort called Fort Sumter. The Union soldiers refused to leave this fort, so the Confederates fired cannons at the fort on April 12, l861. This was the beginning of the Civil War.
 
Hii habari lazima utakuwa umeitoa redio imani au kiojarida cha al nuur

Kwa hiyo utaki kuamini ulivyokuwa mtumwa wa kiakili umeamua kuwasingizia radio imaan.
 
Chash,
Usuwadanganye wanamtandao, kujitenga kutoka kwenye Muungano wa USA ni kinyume cha katiba therefore kinyume cha sheria, na waliojaribu kufanya hivyo kwa kutumia mtutu miaka ya 1860s walishindwa na ikawa ndio mwisho wa hilo jaribio.

Petition zinazoandikwa na watu ni za kujifurahisha roho tu hasa kwa wale walioshindwa uchaguzi. Lakini hazina uzito wowote kisheria, kwa hiyo wale wanaofikiri USA itakuwa kama USSR watakuwa wanajidanganya kwani Muungano wa USA haukuwa wa kulazimishana kama USSR na sheria yake hairuhusu kujitoa kwa petition au hata kwa mtutu. Ukishaingia kwenye ndoa ya USA, hakuna talaka.


KATIBA siyo MSAHAFU mkuu..
 
Mara ya mwisho lilipotokea jambo kama hili la kujitenga kwa majimbo Marekani, kulitokea vita.
Sijui safari hii itakuwaje ??

Angalia hapa....

The South Secedes
and The Civil War Begins
Civsol2.GIF
Civdoc1.GIF

by George
When Abraham Lincoln was elected as president in 1860. Southerners thought the government was becoming too strong. They did not think the government had the right to tell them how they should live. Southerners felt if they stayed in the United States, the North would control them.
Some southern states decided they had no choice. They decided to secede, or leave, the United States. South Carolina was the first to leave the Union and form a new nation called the Confederate States of America. Four months later, six other states seceded. They were Georgia, Florida, Alabama, Mississippi, Texas and Louisiana. Later Virginia, Arkansas, North Carolina, and Tennessee joined them. The people of these states elected Jefferson Davis as president of the Confederacy.
The northern states were called the Union. President Lincoln said he would fight to keep the southern states as part of the United States. There were Union forts on Confederate land. The Confederates wanted Union soldiers to leave these forts. In Charleston, South Carolina there was a Union fort called Fort Sumter. The Union soldiers refused to leave this fort, so the Confederates fired cannons at the fort on April 12, l861. This was the beginning of the Civil War.

Nimeangalia mkuu, nini mtazamo wako? maana siioni hiyo vita kwa mtazamo wangu kwa muda wa hivi karibuni!!!!!
 
Nimeangalia mkuu, nini mtazamo wako? maana siioni hiyo vita kwa mtazamo wangu kwa muda wa hivi karibuni!!!!!

Kama kweli, majimbo hayo yatakomalia maamuzi yao ya kujitenga, vita italipuka.
Kwa nini:-
  • sio watu wote kwenye majimbo hayo wataunga mkono kujitenga
  • majimbo karibu yote yanayotaka kujitenga yana idadi kubwa ya wazungu wenye msimamo mkali, hivyo watajaribu kuwafurusha wasio wazungu
  • majombo mengine ambayo yatabaki kwenye muungano hayatakubali kwa sababu majimbo yatakayojitenga yataondoka na utajiri wao
  • kujitenga kwa majimbo machache kunaweza kuchochea kujitenga kwa majimbo mengine zaidi
 
Kama kweli, majimbo hayo yatakomalia maamuzi yao ya kujitenga, vita italipuka.
Kwa nini:-
  • sio watu wote kwenye majimbo hayo wataunga mkono kujitenga
  • majimbo karibu yote yanayotaka kujitenga yana idadi kubwa ya wazungu wenye msimamo mkali, hivyo watajaribu kuwafurusha wasio wazungu
  • majombo mengine ambayo yatabaki kwenye muungano hayatakubali kwa sababu majimbo yatakayojitenga yataondoka na utajiri wao
  • kujitenga kwa majimbo machache kunaweza kuchochea kujitenga kwa majimbo mengine zaidi

Kwenye rangi mkuu.

Kwa mtazamo wa harakaharaka kwa miaka inavyokwenda wazungu wamekuwa makini sana kupigana wao kwa wao hivyo hatakama watakuwa na mgogoro naamini watatatua kidipromasia siamini watakurupuka kama huku kwetu Afrika kuingia vitani nahivyo naondoa uwezekano huo kwa miaka ya karibun labda hapo baadaye.
 
Hii habari lazima utakuwa umeitoa redio imani au kiojarida cha al nuur

Huko sahihi kabisa kwani amezitoa kwenye gazeti linalofanana na hizo media ulizozitaja linaitwa 'Habarileo' toleo la tarehe 14 Novemba 2012, toleo namba 02155.
 
Kwa habari nilizonazo hadi sasa hivi ni kuwa, kuna kundi kubwa la watu na nafikiri na wao wameshafikisha tayari idadi ya watu 10,000 wanafanya Petition ili hao walioanza Petition ya kujitenga - WANYAN'GANYWE URAIA.

Strip the Citizenship from Everyone who Signed a Petition to Secede and Exile Them
Mr. President, please sign an executive order such that each American citizen who signed a petition from any state to secede from the USA shall have their citizenship stripped and be peacefully deported.'
Soma hapa: Union Forever! Anti-Secession Petitions Gaining Clicks, Too - ABC News

Chash,
Usuwadanganye wanamtandao, kujitenga kutoka kwenye Muungano wa USA ni kinyume cha katiba therefore kinyume cha sheria, na waliojaribu kufanya hivyo kwa kutumia mtutu miaka ya 1860s walishindwa na ikawa ndio mwisho wa hilo jaribio.

Petition zinazoandikwa na watu ni za kujifurahisha roho tu hasa kwa wale walioshindwa uchaguzi. Lakini hazina uzito wowote kisheria, kwa hiyo wale wanaofikiri USA itakuwa kama USSR watakuwa wanajidanganya kwani Muungano wa USA haukuwa wa kulazimishana kama USSR na sheria yake hairuhusu kujitoa kwa petition au hata kwa mtutu. Ukishaingia kwenye ndoa ya USA, hakuna talaka.
 
Back
Top Bottom