Majiko ya gas ya bei nafuu

Majiko ya gas ya bei nafuu

Kama siku nne ntatumia gesi ya 2,500 basi hiyo ni hasara mkuu, mi natumia mtungi wa kg 15 kwa takribani miezi mitano kasoro.

Kg 15 ni around 50,000TZS.

Kwa hesabu yako 2500 siku nne, kwa mwezi ni 18,750TZS ina maana kwa matumizi yangu ya miezi 5 nilivyozoea ni sawa na 18,750*5 jumla ni 93,750 TZS.

Kwangu ni bonge la hasara.


Ila hongera kwa ubunifu mkuu
 
Nawaunga mkono lakini kwa vile wengi wamepiga hesabu na kugundua ni gharama kubwa...basi fanyeni revision maana tunahitaji kuwasapoti. kihom hom
 
nadhani wengi wenu mmetafsiri sivyo, mkuu anauza jiko na si izo cans za gesi
 
nadhani wengi wenu mmetafsiri sivyo, mkuu anauza jiko na si izo cans za gesi
Ukinunua jiko bila gesi utakua unalenga kulitumiaje hilo jiko? Labda kama mleta mada aje na option nyingine ya ujazo mzuri wa gesi
 
Back
Top Bottom