Mkuu asante sana for nice pics, dah Mji wa Nairobi bana upo bomba ile mbayaaaa kinachovtia sana pale ni usafi na mpangilio wa mji kwa ujumla hasa DOWN TOWN imetulia ile mbaya.
Kinachofurahisha zaidi ni utaratibu wa daladala zao / MATATU kuna daladal maalumu zinaitwa SHUTLE hizo hupanda watu kwa utaratibu wa kukaa foleni na hakuna usumbufu zamu yako ikifika unaingia unakaa.
NB: Nahisi hulipa nauli kwa mwezi kama ktk miji mikubwa ya Ulaya . It very nice system niliipenda sana hata bongo tungekuwa nayo ingekuwa poa sana
Mwisho mji wa Nairobi kwa totoz lol hapo usiseme, wengi wao wamejaaliwa mizigo ya maana huko nyuma!