PS nairobi ina majengo mengi ya zamani kuanzia miaka ya 70 na 80 katikati ya jiji, ila inapanuka kwa nje maeneo ya upperhill na westland, DAR inanyanyua vitu vipya na modern katikati ya jiji, pia upanga vitu vinachomoza kama kawa, usisahau kijitonyama na south beach kuna vitu vya kufa mtu, hivyo majiji yote mawili yana maeneo tofauti ya kushindania, nairobi inafanay juhudi kuangamiza makazi kama ya kibera dar bado hawajaanza vizuri, pia miundombinu, nairobi ishakua na barabra za juu underpass overpass, ingawa ni km 12 au zaidi ila dar bado hatujaaza, dar imeanza na mradi utakaowapa wakazi wake usafiri wa kisasa zaidi wa mabasi yaendayo kasi , nairobi bado hawjaanza ila kuna tetesi wnataka train za mijini, hivyo basi , wote wanakimbizana, na kuna upande una majigambo na upande mwingine umekaa kimya unafanay mambo ya kufa mtu, teh teh, nadhani mnaelewa, hata hivyo kigali anakuja kwa kasi vilevile, ila bado anatembelea kichwa, mambo yakienda vizuri kama alivyopanga anaanza kuwakimbiza dar na nairobi muda si muda, kampala kama kawa nayo haipo nyumab, yaani ni kivumbi kitupu, tusubiri tuone kama miradiyote wanaliyopanga itatekelezeka haopo ndo tutaona nani anaongea tuuu, na nani yupo serious anapiga mzigo, kwa sasa ngoja nilala maana ishakua usiku hapa.