Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 4,548
- 4,125
Kuna wakati vipimo vinakosea.
Ingekuwa positive angakuja kuonyesha?
my implication is to provoke my fellow checking their status
una miaka 18 au 78?Tupime jamani,tulipima wengi sasa wakat nachukua majibu nilimuona nesi ananyanya majibu ana hakikisha kama ni yangu by comparing the codes,yaani kadi nyingi zimegongwa positive mmmmmmh jamani,
ukimwi upo sana ..hasa kwa watoto wazuri hapa mjini...sisemi sana
mara zote nilizopima sikupewa karatasi yeyote wala cheti..huu utakua uzushi/
...whta's wrong with u...?Wanaume mahandsome nao vipi? Au utatuambia wenye hela
ukimwi upo sana ..hasa kwa watoto wazuri hapa mjini...sisemi sana
Ukweli hupatiwi cheti kwani wanasema uko negative leo lakini kesho waweza kuwa positive. wengi waliopewa vyeti mwanzoni walivitumia kudanganyia watu hata baada ya kuwa waathirika . Cheti hupatiwi popote pale Tanzania. Hata wanandoa siku hizi madaktari wanakataa kuwapa vyeti after kupima. Dogo kadanganye kwingine.
Sista hahaha itume hiyo soda kwa tigo pesa bwana......Hajui watu mjini tumekuja na gari la tangawizi enzi hizoooooooooooo zao hilo ndio limeanza kulimwa milimani. Hadi leo Mjini tupo tu tunatokea huku tunaingilia huku leo uje ku nidanganyana na majibu ya ngoma?? eti cheti.....akwende hukooHebu waambie na wengine wanaojiandaa kudisplay vyeti vyao humu. mxxxu halafu Mrembo by Nature mwambie muhudumu akupe soda bili kwangu kwa kuwaokoa wanaMMU na udanganyifu huu
mara zote nilizopima sikupewa karatasi yeyote wala cheti..huu utakua uzushi/