Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Habari zenu wakubwa,
Naomba kuuliza..hivi kama ume-apply kazi mahali, unapataje habari kama umechaguliwa?
Mfano; kama tangazo lilitolewa gazetini..je ni kwamba watapost kwenye gazeti majina ya watu walioitwa kwenye interview? au watakupigia simu? au barua pepe?
Au kwa kuwa barua yangu niliituma posta, je na majibu yatatumwa posta vilevile?
na ni baada ya muda gani nisubiri? maana mengine hayakuwa yamesema labda, "usiposikia kutoka kwetu in two months ujue haujachaguliwa!"
Vitu kama hivyo..natanguliza shukrani!
Naomba kuuliza..hivi kama ume-apply kazi mahali, unapataje habari kama umechaguliwa?
Mfano; kama tangazo lilitolewa gazetini..je ni kwamba watapost kwenye gazeti majina ya watu walioitwa kwenye interview? au watakupigia simu? au barua pepe?
Au kwa kuwa barua yangu niliituma posta, je na majibu yatatumwa posta vilevile?
na ni baada ya muda gani nisubiri? maana mengine hayakuwa yamesema labda, "usiposikia kutoka kwetu in two months ujue haujachaguliwa!"
Vitu kama hivyo..natanguliza shukrani!