Majibu ya utata

Majibu ya utata

Haematology

Member
Joined
Jan 7, 2019
Posts
18
Reaction score
9
Habarin ndugu, naombeni ushauri jaman mimi mwezi uliopita nilichangia damu kwa hiari katika shule moja Leo nimeletewa majibu kama ifuatavyo
HIV-POSITIVE
VDRL- NEGATIVE
HBV -GREY ZONE
HCV -NEGATIVE
Nikijiangalia sina dalili zozote za hayo magonjwa.Nikamwomba mtoa majibu turudie kupima cha ajabu majibu yote yakaja negative sasa had sasa nimechanganyikiwabsijui hata niyaamini majibu yapi maana naskiaga kuwa damu salama huwa wanatumia mashine ambazo ni advanced kuliko vipimo vya hospital(rapid test).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarin ndugu, naombeni ushauri jaman mimi mwezi uliopita nilichangia damu kwa hiari katika shule moja Leo nimeletewa majibu kama ifuatavyo
HIV-POSITIVE
VDRL- NEGATIVE
HBV -GREY ZONE
HCV -NEGATIVE
Nikijiangalia sina dalili zozote za hayo magonjwa.Nikamwomba mtoa majibu turudie kupima cha ajabu majibu yote yakaja negative sasa had sasa nimechanganyikiwabsijui hata niyaamini majibu yapi maana naskiaga kuwa damu salama huwa wanatumia mashine ambazo ni advanced kuliko vipimo vya hospital(rapid test).

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hilo la HIV nyendo zako zikoje?
 
Hizi hospital zetu na vipimo vyao

Nilipima hospital zifuatazo nikaambiwa nina vidonda vya tumbo,

Marangu hospital (kitemboni )
Mawenz hospital
KCMC pia 2011 nilipima waliniambia hivo
k's hospital Mbeya ,
Hospital ya Dodoma (mkapa ) nilipima mwaka ule wa 2013
Kuna hospital fulani siikumbuk ndogo ndogo tu ya shiyanga nilipelekwa , iko maeneo ya soko la ngokolo nilipima nikaambiwa ninazo

Mwaka jana nmwishoni nimepima maranatha hospital wakaniambia sina ,,

Majibu yananchanganya sana wakati mwingne
 
Hizi hospital zetu na vipimo vyao

Nilipima hospital zifuatazo nikaambiwa nina vidonda vya tumbo,

Marangu hospital (kitemboni )
Mawenz hospital
KCMC pia 2011 nilipima waliniambia hivo
k's hospital Mbeya ,
Hospital ya Dodoma (mkapa ) nilipima mwaka ule wa 2013
Kuna hospital fulani siikumbuk ndogo ndogo tu ya shiyanga nilipelekwa , iko maeneo ya soko la ngokolo nilipima nikaambiwa ninazo

Mwaka jana nmwishoni nimepima maranatha hospital wakaniambia sina ,,

Majibu yananchanganya sana wakati mwingne
Acha kabisa tunatishana tuu sujui ndio wanataka tutumie dawa zao


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom