Haematology
Member
- Jan 7, 2019
- 18
- 9
Habarin ndugu, naombeni ushauri jaman mimi mwezi uliopita nilichangia damu kwa hiari katika shule moja Leo nimeletewa majibu kama ifuatavyo
HIV-POSITIVE
VDRL- NEGATIVE
HBV -GREY ZONE
HCV -NEGATIVE
Nikijiangalia sina dalili zozote za hayo magonjwa.Nikamwomba mtoa majibu turudie kupima cha ajabu majibu yote yakaja negative sasa had sasa nimechanganyikiwabsijui hata niyaamini majibu yapi maana naskiaga kuwa damu salama huwa wanatumia mashine ambazo ni advanced kuliko vipimo vya hospital(rapid test).
Sent using Jamii Forums mobile app
HIV-POSITIVE
VDRL- NEGATIVE
HBV -GREY ZONE
HCV -NEGATIVE
Nikijiangalia sina dalili zozote za hayo magonjwa.Nikamwomba mtoa majibu turudie kupima cha ajabu majibu yote yakaja negative sasa had sasa nimechanganyikiwabsijui hata niyaamini majibu yapi maana naskiaga kuwa damu salama huwa wanatumia mashine ambazo ni advanced kuliko vipimo vya hospital(rapid test).
Sent using Jamii Forums mobile app
