Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 993
Habari za usiku wakuu! Kwa wale walofanya mitihani kwa nafasi mbalimbali mnamo tar 3,February,2018 maeneo ya chuo cha Uhasibu Arusha IAA matokeo tayari hayo hapo chini nimeyaweka au unaweza tembelea website ya UTUMISHI kuyaona.
Kila la kheri mlopita na ungwe nyingine na kwa ambao hamjapita huu ni mwanzo bado safari ya mapambano iendelee pia sio mwisho wa maisha kwa kila jambo huja na sababu yake.
Kila la kheri mlopita na ungwe nyingine na kwa ambao hamjapita huu ni mwanzo bado safari ya mapambano iendelee pia sio mwisho wa maisha kwa kila jambo huja na sababu yake.