TeamLowassa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 1,495
- 936
Hawa jamaa wana majibu ya kisayansi sana!
Lowassa:
Sumaye:
Lowassa:
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.
Sumaye:
Amesema ni kweli nina shamba ambalo nimelinunua kwa kiinua mgongo changu baada ya kustaafu
Mm sina ela ya kujenga maghorofa nankuwekeza kwenye miradi mikubwa
Nimeamua kuwa mkulima sasa wanasema mwingine anafuga ng'ombe eti ni ufisadi
Je walitaka tufanye kama kinana kuua tembo au familia ya Jk waliokwapua ela za escrow.hili tuonekane waadilifu
Nimeipenda