yaani mwenzetu unaota mchana
eti historia na huyo obama anaejibu front ana kwa ana itaitwaje hiyo yake, huyu jamaa anajitayarisha siku saa na majibu, wa nini huyu sie jamani,
matatizo ya nchi yako wazi yanajulikana sasa hakemei wala hazuii badala yake anajibu maswali hiyo ndio nini
eti historia na huyo obama anaejibu front ana kwa ana itaitwaje hiyo yake, huyu jamaa anajitayarisha siku saa na majibu, wa nini huyu sie jamani,
matatizo ya nchi yako wazi yanajulikana sasa hakemei wala hazuii badala yake anajibu maswali hiyo ndio nini