KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
"Tatu, nivigumu kujua Gazeti la Tanzania Daima limepata wapi habari kuwa safari hiyo yasiku nne inagharimu kiasi cha sh. milioni 300. Ukweli ni safari ya MheshimiwaRais Kikwete na ujumbe wake ni ya siku nane, kama tulivyoeleza jana, ambakoatahudhuria mikutano ya WEF na ule wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Afrika (AU)mjini Addis Ababa, Ethiopia atakapowasili Jumamosi, Januari 28, 2021".
Hapo kwenye Red kumbe tatizo ya typo erro hata Kurugenzi ya mawasilano ikulu mnachapia?hii ni aibu iliyoje hakuna proof reading?Mnasaisha makosa na nyinyie mnarudia makosa hayo hayo.
Hapo kwenye Red kumbe tatizo ya typo erro hata Kurugenzi ya mawasilano ikulu mnachapia?hii ni aibu iliyoje hakuna proof reading?Mnasaisha makosa na nyinyie mnarudia makosa hayo hayo.
"Daima Uongo hata ukiupaka mafuta utabaki kuwa ungo tu"