bopwe
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 1,768
- 1,445
Ulafi kwa maana hata ikiwa hutakiwi unekataliwa utaunda vikundi mazombi na nk ili lazima ubaki na ndo ilivo fanyaVyama vyote vya siasa duniani lengo kuu ni kushika madaraka kama huo unauita ni ulafi nakubaliana na wewe kwamba ccm wana ulafi wa madaraka.