Usiassume kubali alivunjaSawa lets assume alivunja katiba?? Najiuliza sasa kipo kilifanya ZEC wasitangaze matokeo ya urais wa majimbo 14 yaliyobaki kwanni walikaa kimya hadi walapelekea maalim ajitokeze ndo wakapata sababu ya kufuta uchaguzi?? Hvi ji wapi jecha alisema kafuta uchaguzi kwa kuwa maalim kajitangaza urais??