Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

Mnyika ameuwa mende kwa nyundo wakati ufagio ulikuwa unatosha kukatisha maisha ya mende wa kijani.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Umelipwa kiasi gani? Njaa zitawauwa nyie. Mods ondoa huu ----- uunganishe kule kwenye thread Kuu ya JJ
 
Pole, saa nyingine unahitaji huruma na maombi ili yule mwovu azidi kushika ubongo wako.
 
Hongera Mheshimiwa John Mnyika, mbunge wa Ubunge kwa taarifa yako iliyosheeni ukweli kuhusu elimu yako ya KIDATO CHA SITA. Pongezi uzipokee kwa kuwa miongoni mwa watanzania wachache ndani ya Chadema kuhitimu kidato cha 6, kwani wengi wa wafuasi wa chama chako ni std 7 na Form 4. Nakushauri usichoke nenda shule ili uweze kumudu kazi za chama chako katika kipindi ambacho CCM inazidi kukubalika kwa kasi kubwa miongoni mwa watanzania. nakushauri anza ziara za kuaga wapiga kura wa Ubungo kwa vile 2015 ubunge utarudi CCM
Kwa mambo anayotafanya Mnyika...for real anastahili PHD...lakin cha ajabu PHD Wanapewa akina fastjet maskin...
Sitashangaa siku Mulugo akiitwa Dr..
Ndani ya CCM Hakuna Mbunge anayeweza kuwa katika level ya Mnyika
 
Ama Kwa Hakika leo Watu Wazima wameumbuka. Leo umati huu wote unaprint hii DOC na kuipeleka kote ambako Masalia walipita. Nape ameamua kufa na Masalia

Mkuu, ulisema Mnyika akijibu hii hoja atakuwa amedhihirisha kuwa yeye ni nini?
Kumbe ulikuwa hujui kuwa anagoja kuulizwa na Ridhiwani!!! hahahahahahahahahahahaha...
 
baba yangu angekua mulugo ningehama hom kisailensa. manake anatia aibu
 
Aisee,
Mungu nijaalie nisiwe Mwanasiasa, wallah tena.....suala ni education background, sasa ngonjera zote za nini Mnyika?! Manake kila nikisoma, nashindwa kuelewa! Let me try to summarize:
1. Standard Seven ulibabua sana paper na kupangiwa Ilboru....lakini kwavile ulitaka kumtumikia bwana, ukaamua kwenda Maua Seminary....hapa nimekuelewa! Kwenye paper ya Form IV, ukakuntungua 9 A's ambazo zingekufanya upelekwe shule yoyote ile ya serikali(za Vipaji).

2. Kama ambavyo ulikataa mara ya kwanza kwenda shule ya vipaji, hivi sasa ukaenda Tambaza kwa sababu ulitaka kusoma huku ukiendelea na harakati ambazo ulizianza kabla. Hapa tena, ukababua paper ile mbaya! Aisee, Mnyika unatisha wangu!! Lakini pamoja na kubabua paper, unasema kwa mara nyingine "kwa mifumo yetu mibovu ya wakati huo kwa mara ya pili tena Serikali hii inayoongozwa na CCM haikutambua vipaji na nikapaswa niendelee kujilipia ada mwenyewe kama ilivyokuwa kwa ngazi nyingine za elimu zilizotangulia" Hapa umeniacha! Mwenyewe unasema ulipangwa Ilboru shule ya vipaji, lakini ukakataa mwenyewe! Ukaenda Maua na kama kawaida yako, ukababua paper kwa kupata 9 A's na hivyo ungeweza kwenda shule yoyote ile! Hata hivyo, wewe mwenyewe tena, ili uweze kufanya yale ambayo umeyaanzisha, ukaamua kwenda Tambaza!! Sasa hiyo serikali ya CCM unayoilaumu kwamba kwa mara ya pili haikutambua vipaji na ukapaswa ujilipie mbona sikuelewi?! Mbona naona kuna mahali CD imeruka?! Maua ulikung'uta 9 A's ambazo zinakupa sifa na haki ya kwenda shule ya vipaji! Tambaza ulikung'uta A's ngapi kiasi cha serikali ya CCM kuendelea kutoona kipaji chako na kukuacha ujilipie?! Au unazungumzia hawakutambua kipaji chako baada ya kupiga hizo 9 A's?! Ulitakaje? Baada ya kupiga 9's ulipiwe ada, au? Hapa sijaelewa manake hususani pale unaposema KWA MARA YA PILI! Ina maana kwavile Std Seven ambayo ilikupa tiketi ya Ilboru ukaacha na kwenda Maua Seminary nayo inahusika....kwamba hata huko Maua ilibidiserikali wakulipie?!

Baada ya kupitia maelezo yako yenye mtiririko mbovu ambao naamini umeufanya kwa makusudi ili kuwachanganya watu, nashawishika kuamini kwamba education background yako imeishia hapa : "Nafsi yangu ikanituma kuamua kuandika barua yakuahirisha masomo, baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2005 mazingira yalikuwa yamebadilika sana kuweza kurejea kumalizia mwaka au miezi michache iliyokuwa imebaki."


Hata hivyo, hapo kabla umeandika:
Kwa hiyo, nijibu tu kuhusu elimu yangu ya juu kwamba nimesoma miaka mitatu Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (mtu aliyosoma kwa kiwango hicho kwenye baadhi ya vyuo duniani hupewa associate degree).

With due respect sir, kama historia yako ndo inaishia hapo na unasema kwamba una elimu ya Chuo Kikuu, basi sina haja ya kutafuna maneno kwamba huo ni UDANGANYIFU WA HALI YA JUU! Narudia, kwa historia hii uliyoitoa hauna sifa za kujiita Una elimu ya Chuo Kikuu...! Sijaona popote ulipoandika kwamba ulirudi chuo kumalia ile miezi michache ambayo ilibaki na kwamba hata mitihani ya semister ya mwisho hukufanya! Na wala si sahihi hata kidogo hiyo ya kwako kuita eti ni Associate Degree....! Wewe unachotakiwa kuwa wazi ni kwamba ulisoma UDSM kwa miaka mitatu lakini kutokana nA pilika pilika za hapa na pale, hukumalizia masomo yako; PERIOD! Sema tu nakusifu umekuwa mjanja kwa kutosema wazi kwamba una degree au hauna degree huku maelezo yako ukitaka kuwafanya watu waamini kwamba una degree!
 
Mnyika ameuwa mende kwa nyundo wakati ufagio ulikuwa unatosha kukatisha maisha ya mende wa kijani.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Acha porojo,
Hoja ya akina Shonza ni kwamba Mnyika hana degree na hapa imedhihirika elimu yake ni ya Kidato cha Sita na sio ya Chuo Kikuu!
 
script nzuri mwandishi, ila nahisi kama kuna sehemu unajichanganya, sielewi unaposema kuwa ulichaguliwa kwenda shule ya Ilboru na ukaamua kutokwenda mi naamini uliamua kutokwenda kwa kuwa ulipenda mfumo wa elimu wa kibepari, ndio mana ukachagua kwenda hiyo saint sijui nin mwenyewe umeitaja, lakini pia kwa mshangao mkubwa umekuwa ukisema haukusomeshwa na serekali ya CCM bali ni nguvu zako na wazazi wako, vizuri ila nasikitika tu hata mara moja hujasema ni kazi gani ulikuwa unafanya, au ndo hizo unazoziita harakati za mabadiliko zilikua zinamshahara wa kukuezesha kujisomesha?
Anzisha topic nyingine akueleweshe huko ,hii ni response kwa nape na ridhiwan kwa walichomwitia hapa jamvini,sasa ya kazi gani alifanya halikuwa hoja ya msingi.Naona unafikiri kireverse reverse.
 
NAPE:

Alienda kusoma india lakini hakumaliza degree kutokana na ukilaza na pia ulafi wa kukimbilia madaraka Tanzania, akarudi na kuja kutafuta umaarufu kwa kumvaa Lowassa na jengo la UVCCM. Amefanikiwa kumaliza elimu yake ya kuunga unga mzumbe kibabe babe kama kiongozi, sio kwa nidhamu kama wanafunzi wengine wa kawaida.

RIDHIWANI:

Kijana huyu wenye kujua zaidi habari zake ni IMMA advocates. Kwa kifupi, hana uwezo wowote darasani, chuo alifanyiwa mitihani na IMMA advocates kwa kushirikiana na waadhiri fulani fulani. Pia mwaka 2004 alipelekwa uingereza kusomeshwa na IMMA advocates kutokana na ukaribu wa IMMA na Lowaasa. Hapa uingereza, akafeli kozi chuo cha kwanza, IMMA wakampeleka kwingine, huko pia akafeli kwani nchini UK hakuna kuhonga au kufanyiwa mitihani, akarudi nyumbani, na ni IMMA advocates ndio wamemsaidia mpaka akapata uwakili, again kwa kufanyiwa mitihani. Ridhiwani ni kilaza, hata kiingereza chake ni kichekesho.

Kwa kifupi, mtoto wa mtanzania wa kawaida/Mkulima - Mzee Mnyika amezaa kichwa (john) kuliko viongozi wa CCM ambao walikuwa na nafasi zote za kuwafanya watoto wao kuwa exemplary students - Kikwete (Ritz), Mnauye (Nape). Angalau kina Makamba, Lowassa, Warioba, Mwinyi, Malecela (ukimtoa kilaza William), na wengineo, watoto wao wapo vizuri sana kichwani, kama kuna matatizo, basi ni mengine, sio kichwa.

John Mnyika, kwa mtazamo mdogo tu kila mtanzania anaelewa jinsi gani ulivyo kichwa, wala hauna haja ya kujitetea.
 
JJ Mnyika amlipata A katika masomo 9 Form 4,
haya Nape tuambie kama ulipata hata A moja kuanzia form 4 hadi 6.
Nazani hapo tutatoka nje mada.....anzisha thread kuhusu elimu ya Nape! Hapa ni kuhusu tuhuma za Mnyika kudanganya kwamba ana elimu ya Chuo Kikuu wakati hana!
 
Ati jamaa kaulizia kidato cha sita ilikuwaje pale Tambaza, hajasoma uzi wote, kiongozi amesema, Tambaza kidato cha sita aliibuka na div 2 murua hata alipoamua kujiunga BBA PALE DAR COLLEGE jamaa walisema he! kwa nini usijiunge kwa muda wa kawaida kulingana na umri wako? Kiongozi akawaambia mission not complete upo hapo? Bigup kiongozi nimekukubali. Elimisha watu kuhusu sera za majimbo tuikomboe nchi kutoka katika matumizi mabaya ya rasilimali za nchi.
 
Acha porojo,
Hoja ya akina Shonza ni kwamba Mnyika hana degree na hapa imedhihirika elimu yake ni ya Kidato cha Sita na sio ya Chuo Kikuu!

Mkuu, hawa watu wana matatizo ya uelewa. Hawaoni kuwa Mnyika alianza kwa kupata A tisa O-level, akaja kupata div. 3 A level na akashindwa hata kumaliza chuo University. Kwa hiyo uwezo wa Mnyika umekuwa ukipungua katika kila level ya elimu.

Vileviel kitendo chake cha kukataa shule kwa sababu ya kutaka kujikita kwenye siasa za chadema pia ni ukosefu wa akili. Kiujumla dogo inabidi ajitahidi kwenye huohuo ubunge la sivyo ataishia kuwa jobless maana hana ujuzi na biashara hana.
 
Hongera Mheshimiwa John Mnyika, mbunge wa Ubunge kwa taarifa yako iliyosheeni ukweli kuhusu elimu yako ya KIDATO CHA SITA. Pongezi uzipokee kwa kuwa miongoni mwa watanzania wachache ndani ya Chadema kuhitimu kidato cha 6, kwani wengi wa wafuasi wa chama chako ni std 7 na Form 4. Nakushauri usichoke nenda shule ili uweze kumudu kazi za chama chako katika kipindi ambacho CCM inazidi kukubalika kwa kasi
kubwa miongoni mwa watanzania. nakushauri anza ziara za kuaga wapiga kura wa Ubungo kwa vile 2015 ubunge utarudi CCM
Kama umejiharishia vile,kuishi kwa kufikiri kwa masaburi mbaya sana,rudia kusoma ulichakiandika kishanenda kajiangalie kwenye kioo,utajionea aibu mwenyewe b.w.e.g.e weh!
 
Another idiot of the dead ccm,
it is the matter of time to burry ccm.
 
Aisee,
Mungu nijaalie nisiwe Mwanasiasa, wallah tena.....suala ni education background, sasa ngonjera zote za nini Mnyika?! Manake kila nikisoma, nashindwa kuelewa! Let me try to summarize:
1. Standard Seven ulibabua sana paper na kupangiwa Ilboru....lakini kwavile ulitaka kumtumikia bwana, ukaamua kwenda Maua Seminary....hapa nimekuelewa! Kwenye paper ya Form IV, ukakuntungua 9 A's ambazo zingekufanya upelekwe shule yoyote ile ya serikali(za Vipaji).

2. Kama ambavyo ulikataa mara ya kwanza kwenda shule ya vipaji, hivi sasa ukaenda Tambaza kwa sababu ulitaka kusoma huku ukiendelea na harakati ambazo ulizianza kabla. Hapa tena, ukababua paper ile mbaya! Aisee, Mnyika unatisha wangu!! Lakini pamoja na kubabua paper, unasema kwa mara nyingine "kwa mifumo yetu mibovu ya wakati huo kwa mara ya pili tena Serikali hii inayoongozwa na CCM haikutambua vipaji na nikapaswa niendelee kujilipia ada mwenyewe kama ilivyokuwa kwa ngazi nyingine za elimu zilizotangulia" Hapa umeniacha! Mwenyewe unasema ulipangwa Ilboru shule ya vipaji, lakini ukakataa mwenyewe! Ukaenda Maua na kama kawaida yako, ukababua paper kwa kupata 9 A's na hivyo ungeweza kwenda shule yoyote ile! Hata hivyo, wewe mwenyewe tena, ili uweze kufanya yale ambayo umeyaanzisha, ukaamua kwenda Tambaza!! Sasa hiyo serikali ya CCM unayoilaumu kwamba kwa mara ya pili haikutambua vipaji na ukapaswa ujilipie mbona sikuelewi?! Mbona naona kuna mahali CD imeruka?! Maua ulikung'uta 9 A's ambazo zinakupa sifa na haki ya kwenda shule ya vipaji! Tambaza ulikung'uta A's ngapi kiasi cha serikali ya CCM kuendelea kutoona kipaji chako na kukuacha ujilipie?! Au unazungumzia hawakutambua kipaji chako baada ya kupiga hizo 9 A's?! Ulitakaje? Baada ya kupiga 9's ulipiwe ada, au? Hapa sijaelewa manake hususani pale unaposema KWA MARA YA PILI! Ina maana kwavile Std Seven ambayo ilikupa tiketi ya Ilboru ukaacha na kwenda Maua Seminary nayo inahusika....kwamba hata huko Maua ilibidiserikali wakulipie?!

Baada ya kupitia maelezo yako yenye mtiririko mbovu ambao naamini umeufanya kwa makusudi ili kuwachanganya watu, nashawishika kuamini kwamba education background yako imeishia hapa : "Nafsi yangu ikanituma kuamua kuandika barua yakuahirisha masomo, baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2005 mazingira yalikuwa yamebadilika sana kuweza kurejea kumalizia mwaka au miezi michache iliyokuwa imebaki."


Hata hivyo, hapo kabla umeandika:
Kwa hiyo, nijibu tu kuhusu elimu yangu ya juu kwamba nimesoma miaka mitatu Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (mtu aliyosoma kwa kiwango hicho kwenye baadhi ya vyuo duniani hupewa associate degree).

With due respect sir, kama historia yako ndo inaishia hapo na unasema kwamba una elimu ya Chuo Kikuu, basi sina haja ya kutafuna maneno kwamba huo ni UDANGANYIFU WA HALI YA JUU! Narudia, kwa historia hii uliyoitoa hauna sifa za kujiita Una elimu ya Chuo Kikuu...! Sijaona popote ulipoandika kwamba ulirudi chuo kumalia ile miezi michache ambayo ilibaki na kwamba hata mitihani ya semister ya mwisho hukufanya! Na wala si sahihi hata kidogo hiyo ya kwako kuita eti ni Associate Degree....! Wewe unachotakiwa kuwa wazi ni kwamba ulisoma UDSM kwa miaka mitatu lakini kutokana nA pilika pilika za hapa na pale, hukumalizia masomo yako; PERIOD! Sema tu nakusifu umekuwa mjanja kwa kutosema wazi kwamba una degree au hauna degree huku maelezo yako ukitaka kuwafanya watu waamini kwamba una degree!

mashudu km si pumba
 
Back
Top Bottom