Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

Samahani wapendwa, naona kama kuna harufu ya vita binafsi kwa hawa ndugu wanaozungumzia jambo hili. Sipendi kwenda huko lakini kwa maneno machache tuu nijaribu kuangalia kati ya wasomi wenye shahada nyingi na wasio nazo waliowahi kuongoza vizuri nchi.

Namkumbuka Lyatonga Mrema sijui kama alikuwa na shahada alipoongoza wizara fulani na nikimlinganisha na aliepo leo kwenye wizara husika sijui mnapembuaje mnapozungumzia shahada zenu! Nadhani labda niite tuu karatasi mnazopewa mkikaa pale mlimani kwa muda fulani.

Sitaki kuamini kwamba kila aliyepita pale kawekeza kichwani !! Kuna wengine aibu hata kuwatambulisha kitaaluma " kuna mkuu wa wilaya fulani huko tanga aliziita degree za ch...". Hii ni kutofautisha nini kinakutambulisha kama umekaa pale ukatoka na nini kichwani.

Kuna wengine wanaitwa madoctor huku lakini kiwango chao cha maamuzi na upembuzi wa mambo bora wangeishia form two. Mifano mnayo ya kutosha. Kila anayesoma hapa anamjua mmoja au wawili ama kadhaa katika hili.

Hebu tuangalie hoja ya maji ubungo,Mnyika ni mbunge wa ngapi tangu uhuru?

Wakati mnaomba kura za uraisi mlisemaje? Ile meli kule mwanza imeshalowekwa ziwani?

Kigoma imeshakuwa dubai?

Hivi hichokitu walichoshindwa kukifanya sisiem kwa miaka 52 huyu Mwampamba na Juliana ndiyo wataweza?

Hata kama watanzania ni wajinga sana lakini tunaangalia kabla ya mkutano nilikuja na nini kichwani na baada ya mkutano naondoka na nini?

Itafika mahali hamtapewa nafasi kuzungumza matusi, mwulizeni nchemba kule igunga watu waliondoka. Hamzungumzi hoja mnaongea mambo ya chupini. Hayabadilishi maisha ya kesho.

Kina Nape walizunguka nchi nzima wakiimba ufisadi hebu leteni mrejesho! Wapo wapi. Nyie mtazunguka mkiimba nini habari itakuwa kiporo hiyo.
alifukuzwa au aliahirisha mwaka?
 
tunatak tupate ufahamu mkuu,ili tumalize utata mara wengin wanasema alifukuzwa,wengine wanasema aliahirisha mwaka,msaada mkuu kama una ufahamu

walimfanyia fitina mkuu, kwani akiwa chuo tu aliweza mtingisha yule mbunge sujui keenja vilivyo kwenye uchaguzi, in short alishinda ila walimchakachua kura na ndio ikawa mwisho wa chuo
 
Wewe mwenye degree imekusaidia nini wakat unashindwa kuwa na uelewa mdogo tu wa mwanafunzi wa chekechea kuwa mfumuko wa maisha umepanda sana,unashindwa kuelewa tu kuwa taasisi ya raisi imekuwa ni sehemu ya vijiwe vya kahawa,unashindwa kuelewa tu raisi na mamlaka zake hawana uwezo wakuongoza ndio maana hawajui kwa nini nchi ni maskini...hapa hoja ni AKILI TIMAMU kwa sababu hata ukiulizia uwezo wake wa darasan,wewe hujawahi kufikia na wala hajatokea katika ukoo wako mzima na hatatokea wakufikia mafanikio yake kielimu toka shule ya msingi...
 
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua
sec,
A level div 1 pts 3 Tambaza sec then
akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA

wakati wakiwa udsm na akina zitto na
mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa
unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP)
ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua
owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi
za kijamii kama UNA, TYVA na pia
muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo
kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka
2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na
umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye
kipaji cha pekee.
Kenye blue ni kweli kwenye red uongo. Mnyika akuweza kupata hata division 2 form six. Na ndiyo maana Mnyika mwenyewe huwa anakwepa kujibu swali hili na kuwaachia wapambe wake wajibu. Anaelewa wazi kwamba uongo huu ukisemwa na wapambe hauna madhara kwae. Lakini uongo huu akiusema yeye mwenyewe una madhara kwake.

Aje John Mnyika hapa aseme kama alipata division 1 form six Tambaza.
 
Swala la elimu na uwezo wa kuongoza ni vitu viwil tofaut,uwezo tu wa kujenga hoja na kuzitetea kwa fact ni elimu tosha,sio wote waliopita shule waliwekeza kichwani!!kamanda mnyika alimwita jk dhaifu,swal je udhaifu wa jk nan mwenye uelewa hajaliona hilo:what::what:sasa hapo kamanda na le dr.professer jk nan kilaza!!!!!
 
Matokeo ya kidato cha nne yanatoa taswira ya upeo wa mwanafunzi yoyote kwa ufaulu wake inaonesha ni bright
 
Hakufukuzwa kwa utovu wa nidhamu bali kwa kusema spade is a spade na wala sio kijiko kikubwa. Kama alivyosema Prof ni Dhaifu
 
Mnyika A level alikuwa anafanya kazi na kusoma inakuwa vigumu kupata A wengi wetu hata chuo kusoma ni next tu impossible Kama una kazi !!
In short hata chixi hawezi bisha kuwa mnyika ni bright
 
Wewe mtoa Maada inaonyesha wazi huna upeo mkubwa wa kufirikiri ndo maana umefikiria hayo wakati kuna mengi kwa faida ya nchi
 
Wewe kama kiongozi basi una majukumu ya kusema ukweli.
Tunataka na tuna haki ya kujua kwanini umesema uongo (au kwanini umeruhusu uongo usemwe) juu ya elimu yako kwa miaka kadhaa?
Waliokuwa wanakutetea kwamba una degree ya UDSM sasa wameshabadilika na wanasema kwamba ulifukuzwa kwa utovu wa nidhamu badala ya kusema kwamba ulisimamishwa kwa sababu ya kufeli.

Tunataka kujua majibu ya maswali yafuatayo. (nimepiga simu yako haikuwa hewani)

1. Jee ulipata division one ya point 3 form six pale Tambaza secondary school?

2. Jee una degree ya somo/fani yoyote ya UDSM?
 
Ati leo elimu haina tija ilimradi tu kiongozi bora sio kweli akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa kama ni kweli ilikuwaje hadi adanganye elimu yake, kuna watu kwa kutetea ujinga nahic hata akimkuta chumbani na mkewe haamini atasema alienda kumpa kadi ya chama

Uongozi ni kipaji.SAWA KABISA. Lakini falsafa na makandokando ya dunia na ulimwengu yanalazimisha,KIPAJI KIUNGANISHWE NA ELIMU KUCHCHEA UFANISI. Kama Mhe.John Mnyika hajasoma elimu yenye kuthibitishwa kuwa na SHAHADA ya UDsm,namshauri na kumwomba achukue likizo kwenye siasa,akachimbe.Mrema na Mbowe walifanya hivyo.Tafadhali.Mnyika ni TUNU,THAWABU na HAZINA ya Tanzania.Anakishiwe
 
Back
Top Bottom