Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

Mia ya Nape na Ridhiwani ni kututoa kwenye matatizo yaliyosababishwa na utawala mbovu wa baba yake maisha bora kwa kila mtanzania imekuwa ni ndoto
ameingiza nchi kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe
Ametumia pato la taifa kwenda kubembea jamaica
ameruhusu rafiki zake waarabu na Katibu wake mkuu kuvuna wanyama wetu kwa aslimia 60
Ameefirisi misitu kwa silimia 80 mpaka misitu kama sao hill imebaki historia
Anavuna madini ameruhusu mpaka uranium ivunwe wakati nchi haina uwezo kujikinga na madhara yake
asilimia 94.5 wanafunzi wa sekondari wamefeli
ameshindwa kutatua janga la njaa wananchi wanakufa vijijini
ameruhusu mauaji ya wana dini wote waislamu kwa wakristo
sasa elimu ya Mnyika itajibu haya au munatutoa kwenye mjadala wa kitaifa na siku zote munafanya hivyo tunawajua nyie
 
Kwani uongo mfumo wa kimarekani wana associate degree tena mtu anakuwa college yaani wewe kwa akili yako Mnyika kwa pass alizopata toka darasa la saba unataka aone aibu ndio maana tunasema vichwa vyenu vimejaa sisimizi kwa sababu munataka kutulazimisha tuamini kwamba kuna mahala alijikwenza kwa crendentials asizokuwa nazo
 
Kamanda Mnyika ww ni mkali, endelea na moyo huo, mimi ninakubali sana ujengaji wako hoja, maana hauropoki kama hao akina Nape na mwenzake Riz last.
 
Mnyika ametumia porojo kukimbia kutoa taarifa zifuatazo kwa makusudi:
1. Matokeo yake ya A level hajayataja. Ya o level ametaja m¨paka idadi ya As alizopata, alipofika A level ameweka porojo. Ukweli ni kwamba A level alipata div 3.

2. Chuo hajamaliza. Kuhudhuria chuo si kuwa msomi wa chuo. Kusoma chuo ni kukamilisha mahitaji ya mitihani ya kozi yako ili uthibitishe umepata taaluma iliyokusudiwa. He is a collage drop out.

3. Hakuwa na sifa za kuchaguliwa kwenye program ya full time, hivyo akaingia program ya wazee ya jioni. Hili hajalisema kwa makusudi.

4. Baada ya kushindwa Ubunge mwaka 2005 alikuwa na miaka mitano mpaka 2010. Muda wote huu ameshindwa kumalizia kozi ya BBA!!!

5. Tangu aliposhindwa shule mpaka sasa ni miaka nane (8), bado ameshindwa kumalizia shule.

6. Sasa hivi ameenroll kwenye chuo fulani, ambacho katika majibu yake haya hajakizungumzia. Sababu ya kutokukizungumzia anajua yeye. Hata hivyo tangu ameenroll mpaka sasa hata module moja hajaweza kumaliza!!!

Jiulize kama mtoto wako akiamua kuacha shule na elimu ya form six ili ajikite kwenye siasa utamruhusu?
Ina maana gani kuacha shule kwa sababu ya siasa halafu unachoishia kufanya ni kulalamika kuwa CCM imeshindwa kutekeleza ahadi uloizotoa wewe kwa watu wako? as if CCM ilikwambia ukatoe hizo ahadi.
 
Thomas A.Edson had only three months of formal education during his entire life. Yet he did not lack education, nor did he die poor. Henry Ford had less than a sixth grade schooling, but he managed to do pretty well by himself financially.

As knowledge is acquired, it must be organized and put into use, for a definite purpose, through practical plans. Knowledge has no value except that which can be gained from its application toward some worthy end. This is one reason why a college degree in itself is not valued more highly. It often represents nothing but miscellaneous knowledge. Those who usually make the mistake of believing that the "knowledge-acquiring" period ends when one finishes school. The truth is that formal education does but little more than to put one in the way of learning how to acquire practical knowledge (Napoleon Hill- Think & Grow Rich!) pg 79. Hebu Nape na Riz acha hizo, matumizi ya elimu Nape ni kupiga poroja zisizoliletea taifa tija.
 

Mnyika you are so smart brother wewe huwezi kujibizana na vilaza kama Nape na Ridhiwan mdogo wake kapata Mwanaasha kapata ziro juzi tu au amesahau? piga kazi akili yako ni kubwa mno na elimu sio vyeti elimu ni yale unayoyaonesha pale bungeni mpaka vilaza wote wa ccm wanachanganyikiwa.
 

Hizi kauli za kusema elimu sio vyeti halafu mnashangaa kwanini wanafunzi hawafaulu. Its simple, kwa sababu jamii haiheshimu elimu, inaheshimu longolongo na porojo zinazopigwa bungeni. Kwanini mwanafunzi akeshe akisoma wakati anajua kuwa akipiga domo tu inatosha???
 
hadaiwi hata senti na serikali hii ya CCM amesoma kwa jasho lake na wazazi wake. swali pale TAMBAZA ulikuwa ukilipa ada tsh ngapi?
 
kwa kazi unazofanya wala hauna haja ya kurudi chuoni inachotakiwa ni kupewa PHd
 
Sijui nishaisoma hii makala ya Mnyika mara ngapi sasa, ila ninauhakika si chini ya mara 5, na sichoki! da inatia hamasa sana
 

acha ujinga wewe vyeti kama wewe unaweza kua navyo au Nape na Ridhiwani vimepoteza maana wewe akili yoko hiyo ni ya kukuongoza kuvuka barabara tu na kuendea chooni.
 

Kwani hapa kuna hoja ya kufeli au kupasi? na nani aliosadikisha hayo ayasemayo?

Hoja ni kuwa hajamaliza chuo kikuu, asiseme uongo!
 
Kamanda ni vizuri kiwei a rekodi sawa! Nape na Riz njooni sasa tujadili...
 
dah aisee huo muandiko tu hatari,hivi ametumia font gani vile?..

Mnyika ni kichwa sana,Nape hawezi kurudi hapo.
 
acha ujinga wewe vyeti kama wewe unaweza kua navyo au Nape na Ridhiwani vimepoteza maana wewe akili yoko hiyo ni ya kukuongoza kuvuka barabara tu na kuendea chooni.


Mashabiki wa chadema matusi ni kawaida yenu. Tumeshawazoea.
 



Nimemkumbuka sana yule gwiji mwanzilishi na mgunduzi wa Apple Macintosh aliyefariki karibu mwaka mmoja uliopita. Katika historia ya maisha yake anafanana na Mnyika. Hakuwahi kuhitimu chuo ingwa alikuwa Mwanachuo. Pamoja na kutohitimu chuo amekuwa kichwa cha ajabu katika kugundua computer ambayo ndiyo maarufu kwa wataalamu wa design hata software za computer nyingine nyingi zimetokana na Apple. Leo ulimwengu unatamba na simu zake katika kizazi cha leo. Hakuwa na vyetu ukutani.

Nani asiyejua Mnyika alivyo na uwezo wa kujenga hoja zenye kuakisi hali halisi ya maisha na manufaa kwa taifa? Tatizo la CCM wakishaishiwa nguvu ya hoja huanza mashambulizi kwa mtu binafsi maana yake hoja ya nguvu dhidi ya nguvu ya hoja.
 

Cheti unaweza kukipata kwa :
1.Kukariri bila kuelewa a(kumeza nakutapika kwenye mtihani)
2 kuwahonga au kuwainfluency wahadhili kwa manufaa ya mitihani yako kwa namna yeyote ile e.g cheo cha baba ,hela , ngono n.K
3kudesa kwa wezio au vyovyote vile

Lakini elimu lazima ujifunze kiukweli na uwe mzuri kichwani. Kujifunza sio lazima ukae Drsn
Wapo college drop out kama Bill gate ambao ukuzi na ueledi wao hauwezi kufananishwa na wengi humu mlio na digrii feki

Myika is intelligent , his IQ is great no ubishi

Kuna dalili zote kwamba Riz1 anatoka ukoo wa vilaza
 
Kwani hapa kuna hoja ya kufeli au kupasi? na nani aliosadikisha hayo ayasemayo?

Hoja ni kuwa hajamaliza chuo kikuu, asiseme uongo!
wewe uliyemaliza mbona hatuoni impact ya Elimu yako kwenye nchi hii zaidi ya kukesha JF kushabikia udini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…