Majibu kwa lara 1

Jamami Asprin kuniongelesha kwa ukali hivyo si uniambie polepole

Orayto.... kam zis wei so zat I can meki yuu mai third small waif..... Liken't you?

Afu jina la huyu mleta mada ng'wana ong' wa kulwa nakushauri usije ukalitamka ukiwa na mimba ya kwanza, lazima itaharibika. Jamaa lina jina gumu kama jiwe la mto Nile.
 

Ha ha ha your third wife do u have money
 
Last edited by a moderator:

tehetehetehe mpaka awe ameshiba
 
Jamani mwamsheni lala 0, miss neddy wake make hawajalala taabu hii ya kukosa ndoa in hatari sana. Usichana wao wamechezea chuoni wakiamini mtaani mambo safi.

Yawezekana yale maneno vunja mifupa meno ingali ipo aliyafanyia kazi lara 1,wakati ndoa inataka utunze ulicho nacho kitakusaidia mbele ya safari.
 

Aliyetoa huo msemo ndio tatizo!
 

Loser's anthem
 
Rafiki yangu kabisa ana miaka 38 sasa anampango wa kwenda kwa TB Joshua kuomba muujiza aolewe. Hapa kuna kujazana ujinga nyumba ya keyboard lakini kwenye maisha halisi ndoa ni muhimu sana, na katika maisha kuna changamoto zake!

Yani kwa wadada ambao wamechelewa kuolewa au kukosa mchumba wanaona.mkosi kuhangaika kila mahali na wengne wameishia kuzaa na wanaume tofauti tofauti au kutoka na waume wa wenzao kipi bora sasa kutokuelewa uchepuke?
 
Yani kwa wadada ambao wamechelewa kuolewa au kukosa mchumba wanaona.mkosi kuhangaika kila mahali na wengne wameishia kuzaa na wanaume tofauti tofauti au kutoka na waume wa wenzao kipi bora sasa kutokuelewa uchepuke?

Wanajua kabisa kuolewa ni jambo la maana sana tatizo ni pale wanapojaribu kila namna ya kuingia kwenye ndoa wakashindwa wanaanza kuponda.

NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
 
daah? Msameheni. Sidhani kama atarudi tena hapa mana mmemjazia page kama field repot

Anajifanya mjuaji karudi tena hawezi badili ukweli huu ndoa ya mtu iwe mbovu ama wana raha kama paradiso lazima iheshimiwe na watu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…