Majibu juu ya upotoshaji wa Mwigulu

Majibu juu ya upotoshaji wa Mwigulu

Kingu JR

Member
Joined
May 8, 2013
Posts
13
Reaction score
4
Ndg wanajf,
Nimesikitishwa na kitendo cha mbunge wangu mwigulu kuandika maneno ya uongo humu jf hivyo nimeamua kuja kukanusha na kuweka ukweli wa mambo juu mkutano wa Dkt Slaa uliofanyikia hapa kiomboi,

*MAHUDHURIO YA WATU:
watu waliojitokeza ni takribani 3502 hii ni kwa mujibu wa fomu za mahudhurio zilizopitishwa kwa watu walipokuwa wanajaza maoni ya juu ya rasimu ya katiba.

HAMASA:watu waliokuwepo hapo walikuwa na furaha kubwa hali iliyopelekea kutaka kumbeba juujuu katibu mkuu.

UWEPO WA MWIGULU MKUTANONI:
Ktk hali isiyo ya kawaida Mwigulu nae alifika mkutanoni akiwa ndani ya RAV 4 ya kada maarufu wa ccm Bw.Msamaria
Pia dereva na mpiga picha wa mwigulu nao walikuwepo.

WANAIRAMBA WAMLAANI MWIGULU
Wanairamba wamemlaani mwigulu kutumia mil 10 kuileta simba wakati barabara ya kuelekea hospitali na mbovu,maji hakuna,wanafunzi wanakaa chini,shule ya kisana na nyingine ya new kiomboi zikiwa hatarini kufungwa kwa ukosefu wa madarasa.

MPIRA UMEANZA BAADA YA DE NEXT PREZDA KUONDOKA,,
 
uploadfromtaptalk1376915305671.jpg

Mwigulu ni mbwaMwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Wanairamba muogopeni mtu anaewapeleka kwenye mpira ili msitoe maoni yenu ktk katiba mpya halafu yeye anarudi kusikiliza mkutano wa siasa.
Hiyo ni zaidi ya DHARAU.

CCM HUWA WANAWAFUNGIA OMBAOMBA UWANJANI PINDI WANAPOTEMBELEWA NA VIONGOZI WA MATAIFA MAKUBWA.
SASA WAMEHAMIA MAJIMBONI.
 
Ndg wanajf,
Nimesikitishwa na kitendo cha mbunge wangu mwigulu kuandika maneno ya uongo humu jf hivyo nimeamua kuja kukanusha na kuweka ukweli wa mambo juu mkutano wa Dkt Slaa uliofanyikia hapa kiomboi,

*MAHUDHURIO YA WATU:
watu waliojitokeza ni takribani 3502 hii ni kwa mujibu wa fomu za mahudhurio zilizopitishwa kwa watu walipokuwa wanajaza maoni ya juu ya rasimu ya katiba.

HAMASA:watu waliokuwepo hapo walikuwa na furaha kubwa hali iliyopelekea kutaka kumbeba juujuu katibu mkuu.

UWEPO WA MWIGULU MKUTANONI:
Ktk hali isiyo ya kawaida Mwigulu nae alifika mkutanoni akiwa ndani ya RAV 4 ya kada maarufu wa ccm Bw.Msamaria
Pia dereva na mpiga picha wa mwigulu nao walikuwepo.

WANAIRAMBA WAMLAANI MWIGULU
Wanairamba wamemlaani mwigulu kutumia mil 10 kuileta simba wakati barabara ya kuelekea hospitali na mbovu,maji hakuna,wanafunzi wanakaa chini,shule ya kisana na nyingine ya new kiomboi zikiwa hatarini kufungwa kwa ukosefu wa madarasa.

MPIRA UMEANZA BAADA YA DE NEXT PREZDA KUONDOKA,,
Majibu mepesi kwenye hoja nzito. Siamini kama watu wenye upeo kama wako ndo wafanyakazi wa kitengo cha propaganda cha cdm. Ungetaka kumaliza mjadala, ungeweka humu jf hiyo fomu ya mahudhurio na picha za hao waliohudhuria. Acheni hizo jamani. Dr slaa ameshajichokea na ni dhahiri sasa mtifuano na mbowe unakaribia kutokea. Mbowe anafanya kazi kweli kuhakikisha kuwa watanzania wanamuunga mkono ili 2015 asimame yeye kugombea na si mzinzi huyu
 
View attachment 107875

Mwigulu ni mbwaMwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Wanairamba muogopeni mtu anaewapeleka kwenye mpira ili msitoe maoni yenu ktk katiba mpya halafu yeye anarudi kusikiliza mkutano wa siasa.
Hiyo ni zaidi ya DHARAU.

CCM HUWA WANAWAFUNGIA OMBAOMBA UWANJANI PINDI WANAPOTEMBELEWA NA VIONGOZI WA MATAIFA MAKUBWA.
SASA WAMEHAMIA MAJIMBONI.
Akeshindwa baba yako dr slaa, utaweza wewe humu jf ambayo hata huko Iramba sidhani kama kuna members wa kawaida ukiachilia mbali viongozi wa ccm na cdm
 
Kitendo alichofanya mwigulu kiomboi,imenithibitishia kuwa mauji,tindikali zote anaratibu mwigulu kuharibu taswira ya chadema!BADALA YA CCM KUWA KARIBU NA WANANCHI,sekretariet inapanga mipango michafu ya kuchafua mikutano ya cdm
 
Akeshindwa baba yako dr slaa, utaweza wewe humu jf ambayo hata huko Iramba sidhani kama kuna members wa kawaida ukiachilia mbali viongozi wa ccm na cdm

wewe toa bange zako hapa,siku za Mwigulu zinahesabika ,CCM wakimkataa msimwage mmbwa mwitu wake
 
wewe toa bange zako hapa,siku za Mwigulu zinahesabika ,CCM wakimkataa msimwage mmbwa mwitu wake
Kumbe mnategemea huruma ya ccm! Hapo mmechemsha. Mwigulu kapewa kazi na ccm na hivyo anatekeleza maagizo ya ccm. Hilo msahau kabisa. Kuna akina mwigulu kibao ndani ya ccm isipokuwa wanasubiri tumuda ndipo mtakapoipata fresh. Chezea ccm veve
 
Kitendo alichofanya mwigulu kiomboi,imenithibitishia kuwa mauji,tindikali zote anaratibu mwigulu kuharibu taswira ya chadema!BADALA YA CCM KUWA KARIBU NA WANANCHI,sekretariet inapanga mipango michafu ya kuchafua mikutano ya cdm
Hapo ccm imeingia vipi? Ni wananchi ndo waliamua kipi muhimu kwao. Mikutano ya cdm na dr slaa wangekuwa muhimu hata ungeandaa kitu gani usingewashawishi kiasi kile.
 
Hata hicho anachokiita Mwigulu cup,ni uhuni mtupu. hakuna cha mwigulu cup,wala savimbi cup.
 
Mwigulu anadharau kweli yani kaona wana iramba hawafai kuskiliza katiba ila wanafaa kuangalia mpira afu yy tu ndo askilize daa
Majibu mepesi kwenye hoja nzito. Siamini kama watu wenye upeo kama wako ndo wafanyakazi wa kitengo cha propaganda cha cdm. Ungetaka kumaliza mjadala, ungeweka humu jf hiyo fomu ya mahudhurio na picha za hao waliohudhuria. Acheni hizo jamani. Dr slaa ameshajichokea na ni dhahiri sasa mtifuano na mbowe unakaribia kutokea. Mbowe anafanya kazi kweli kuhakikisha kuwa watanzania wanamuunga mkono ili 2015 asimame yeye kugombea na si mzinzi huyu
 
Akeshindwa baba yako dr slaa, utaweza wewe humu jf ambayo hata huko Iramba sidhani kama kuna members wa kawaida ukiachilia mbali viongozi wa ccm na cdm

aweke picha na hizo fom za mahudhurio .kama vp mods towen uz
 
Hapo ccm imeingia vipi? Ni wananchi ndo waliamua kipi muhimu kwao. Mikutano ya cdm na dr slaa wangekuwa muhimu hata ungeandaa kitu gani usingewashawishi kiasi kile.

wanataka kumlinganisha mnyama na babu slaa
 
hakuna haya ya kumjadili mwigulu hapa maana ni pompopo yule...hana jipya!
 
Majibu mepesi kwenye hoja nzito. Siamini kama watu wenye upeo kama wako ndo wafanyakazi wa kitengo cha propaganda cha cdm. Ungetaka kumaliza mjadala, ungeweka humu jf hiyo fomu ya mahudhurio na picha za hao waliohudhuria. Acheni hizo jamani. Dr slaa ameshajichokea na ni dhahiri sasa mtifuano na mbowe unakaribia kutokea. Mbowe anafanya kazi kweli kuhakikisha kuwa watanzania wanamuunga mkono ili 2015 asimame yeye kugombea na si mzinzi huyu

we dogo Mbowe alishatangaza ana nia ya kugombania urais tena
 
Back
Top Bottom