Mkwele_
Senior Member
- Oct 8, 2016
- 100
- 125
Ni tatizo la kawaida, sediments accumulation in either tank/reservoir or improper planning of pipe network cleaning an flushing.Maji ya bomba kwa sisi wakazi wa Tabata, Kimara na Ubungo tunapata maji yaliyo na rangi ya udongo. Hili tatizo nimeliona kwa zaidi ya miezi sita sasa.
Wakati mwingine ukiyahifadhi uchafu unajitenga chini.
Hii ni hatari.
Wasiliana na jamaa wa customer care maoni yako yanaweza kusaidia kuona ukubwa wa tatizo lililopo na kulitatua.