Maji ya DAWASCO machafu

Maji ya DAWASCO machafu

Yaani Dawasco ni jibu limeiva linajipasukia tu, Mh. Rais njoo, pasua paaaaahh hawa Dawasco, i wish Mungu anipe Urais, nitafyekaa fyekaa mashirika mazembe kama Dawasco, yaani
 
Nahisi kuna shida kwenye treatment plant.
Itakuwa kuna tatizo huko au yawezekama baada ya kuongezeka pressure ya maji mabomba yamepasuka sana kupelekea uchafu kuingia kutokana na mabomba yamechakaa.
 
Mimi naona ni mwaka sasa

Hasa kipindi cha mvua ndo uchafu balaa

Unaoga ghafla unashangaa unaukurutuu muwasho balaa sasa kule idara nyeti ndo patakuwaje unapojitawaza.

Yaani of all organs za mwili wako umeona iyo tu ndo itadhurika na maji ya dawasco?? Haya bwana .....take care of that asset
 
Wengi tunasahau kwamba iyo organ ni sawa na vidole tu maana inavyobamizwaga bila huruma ingekuwa delicate kiasi hicho ishang’oka siku nyingi
 
mimi nilishasahau kama ni tatizo
Nimestuka sana kuona thread yako.

Tunajionea sawaa tu!
Mwambie mkuu, mwambie watu tumechezea vifuu na maji hayohayo ya tope na sasa tuna wajukuu maji ni yale yale, hawakukunjwa mapema wamezoa sasa ukilaum ni Sawa na unawaonea maana wamerithishwa na waliotangulia na wao wanaendelea kujiridhisha uozo wa Uongozi. Huu mkoa ninaoishi sasa maji hayana tope kabisa
 
Mwambie mkuu, mwambie watu tumechezea vifuu na maji hayohayo ya tope na sasa tuna wajukuu maji ni yale yale, hawakukunjwa mapema wamezoa sasa ukilaum ni Sawa na unawaonea maana wamerithishwa na waliotangulia na wao wanaendelea kujiridhisha uozo wa Uongozi. Huu mkoa ninaoishi sasa maji hayana tope kabisa
Hapana kwa upande wangu wakati nakua nimekunywa maji ya bomba unakuta ukitoka mpirani unakinga mdomo bombani. Maji yalikuwa yananuka dawa muda wote.
 
Hapana kwa upande wangu wakati nakua nimekunywa maji ya bomba unakuta ukitoka mpirani unakinga mdomo bombani. Maji yalikuwa yananuka dawa muda wote.
Sikubishii mkuu Dar kubwa
 
@DAWSCO
MAJI yenu mnakata saa tatu usiku kurudi saa kumi na moja yakiwa machafu yananuka choo kwetu Manzese Mvuleni
 
W
Maji ya bomba kwa sisi wakazi wa Tabata, Kimara na Ubungo tunapata maji yaliyo na rangi ya udongo. Hili tatizo nimeliona kwa zaidi ya miezi sita sasa.

Wakati mwingine ukiyahifadhi uchafu unajitenga chini.

Hii ni hatari.
Wanaume wa Dar kwa kulalamika hamjambo, njoeni huku mashambani mjionee , maji anakunywa ngombe , anajisaidia humohumo na binadam nae anakunywa hayohayo na hatulalamiki
 
Back
Top Bottom