Mwenyeminazi
Senior Member
- May 24, 2012
- 194
- 67
- Thread starter
- #41
Nitakuvumilia usijali mkuu^^
Umenena kweli !! Watu wa aina yangu ni tatizo ndani ya JF ombi letu mtuvumilie kama tunavyowavumilia nyinyi kwa kuleta maelezo ya upande mmoja ili tuhalalishe tabia zisizopendeza ktk jamii.
Jungu la mama laweza kuwa kuu lakini ukoko wa pembeni ukakusaidia kuziba robo ya njaa.
Nivumilie
Mwenyeminazi
^^