Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,446
- 829,809
- Thread starter
- #41
Ok sawa asante kwa ufafanuzi na hii WP je inaelekea nachanganya mamboHapana MP sio cheo mkuu ni kitengo ndani ya jeshi (MP:Military Police) kazi yao ni kusimamia nidhamu ndani ya jeshi..cheo cha chini ni PRIVATE hivyo MP anaweza kuwa wa cheo chochote kile endapo atakuwa amepata mafunzo ya MP.