Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Kuna watu ni wendawazimu yani mtu na akili timamu anawasifu Allshabab kwa mauwaji ya kikatili wanayotekeleza kenya
Kwa kisingizio cha jeshi la kenya eti linauwa watu somalia,Ni uongo uliotukuka hao hao shabab ndio wanauwa wasomali na waislam wenzao kule somali tuache kupotosha na kudanganya watu na akili zao.
Majeshi ya kenya yanawalinda wasomali dhidi ya allshabab hilo lipo wazi.
Kwa kisingizio cha jeshi la kenya eti linauwa watu somalia,Ni uongo uliotukuka hao hao shabab ndio wanauwa wasomali na waislam wenzao kule somali tuache kupotosha na kudanganya watu na akili zao.
Majeshi ya kenya yanawalinda wasomali dhidi ya allshabab hilo lipo wazi.