Hiyo inaiwezea yule anayestahili tuzo!Safi saana ila Jemah nae akili hana. Alishindwaje kuagiza matokeo kufutwa na uchaguzi kurudiwa?
Hiyo inaiwezea yule anayestahili tuzo!Safi saana ila Jemah nae akili hana. Alishindwaje kuagiza matokeo kufutwa na uchaguzi kurudiwa?
Umechangia kwa upolee mkuu hii ndo AfricaYangoswe..
Kwa hiyo unashauri nini kifanyike kuhusu Gambia?UNAFIKI TU VIONGOZI WANGAPI WA AFRIKA WAMEFANYA HAYA HAYA LKN HATUKUSIKIA HATUA KAMA HIZI. Kwa vile ka nchi ka Gambia kako hivyo kalivyo mnakaonea.
Kwani waliopiga kura Wamagharibi?Kwenye huo uvamizi nyuma yake kuna mataifa ya magharibi kwn ndo adui wao mkubwa..tangu alipotangaza kujitoa nchi za jumuia ya madola,kukataza ushoga na mbaya zaidi alipotangaza kuwa gambia ni jamuhuri ya kiislamu,aliwachukiza saana mabwana wakubwa!kwhyo kuna mengi yanaendelea pale ila alikuwa anatafutiwa sababu na sasa wameipata.
Hongera ECOWAS kwa hatua sitahiki. Litakuwa fundisho kwa watu wa aina hii maana wako wengi. Africa mashariki tunashindwa hili kwa vile hakuna umoja thabiti zaidi ya unafiki. Burundi, Rwanda, DRC, (z'bar) kote huko figisu tupu na zinajulikana lkn mmoja akiboronga hili mwingine naye kesho anaiga.
Kwenye huo uvamizi nyuma yake kuna mataifa ya magharibi kwn ndo adui wao mkubwa..tangu alipotangaza kujitoa nchi za jumuia ya madola,kukataza ushoga na mbaya zaidi alipotangaza kuwa gambia ni jamuhuri ya kiislamu,aliwachukiza saana mabwana wakubwa!kwhyo kuna mengi yanaendelea pale ila alikuwa anatafutiwa sababu na sasa wameipata.