Majeshi ya Ecowas kuivamia Gambia

Tutegemee kuanzishwa kwa makundi ya kigaidi kama TOUREG NA BOKOHARAM wengine yaanze kuwashughulikia wenyewe huko huko
 
Kwenye huo uvamizi nyuma yake kuna mataifa ya magharibi kwn ndo adui wao mkubwa..tangu alipotangaza kujitoa nchi za jumuia ya madola,kukataza ushoga na mbaya zaidi alipotangaza kuwa gambia ni jamuhuri ya kiislamu,aliwachukiza saana mabwana wakubwa!kwhyo kuna mengi yanaendelea pale ila alikuwa anatafutiwa sababu na sasa wameipata.
 
Kwenye huo uvamizi nyuma yake kuna mataifa ya magharibi kwn ndo adui wao mkubwa..tangu alipotangaza kujitoa nchi za jumuia ya madola,kukataza ushoga na mbaya zaidi alipotangaza kuwa gambia ni jamuhuri ya kiislamu,aliwachukiza saana mabwana wakubwa!kwhyo kuna mengi yanaendelea pale ila alikuwa anatafutiwa sababu na sasa wameipata.
Kwani waliopiga kura Wamagharibi?
 
Hongera ECOWAS kwa hatua sitahiki. Litakuwa fundisho kwa watu wa aina hii maana wako wengi. Africa mashariki tunashindwa hili kwa vile hakuna umoja thabiti zaidi ya unafiki. Burundi, Rwanda, DRC, (z'bar) kote huko figisu tupu na zinajulikana lkn mmoja akiboronga hili mwingine naye kesho anaiga.

Waafrika hakuna wa kujifunza. Mfano, "Mungu" anaweza kujifunza
 
Kwenye huo uvamizi nyuma yake kuna mataifa ya magharibi kwn ndo adui wao mkubwa..tangu alipotangaza kujitoa nchi za jumuia ya madola,kukataza ushoga na mbaya zaidi alipotangaza kuwa gambia ni jamuhuri ya kiislamu,aliwachukiza saana mabwana wakubwa!kwhyo kuna mengi yanaendelea pale ila alikuwa anatafutiwa sababu na sasa wameipata.

Una haki ya kuhisi
 
Back
Top Bottom