Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.
 
bongo hiyo! Kwa wenzetu jeshini unakuwa msomi na elimu yako inaonekana. Huku siasa hadi kwa makamanda na mageneral hakuna kutumia weledi
 
Mkuu mbona unatutukana wengi hivyo?

Anyway, Happy new year mbulumundu...
 
Mkuu sijatukana mtu ila majeshi ya Tanzania si rafiki kwa wasomi.
Basi kama wewe msomi sana si utafute kazi ya kisomi zaidi, halafu mimi na cheti changu cha form four failure nitakuja kukupiga tanganyika jeki na kukusweka lupango siku ukibaranganya huko kwenye kazi yako ya kisomi...

By the way, hata ukidharu na kuwachukia vipi wanajeshi/polisi/magereza , mwisho wa siku wakipita lazima mwili ukushtuke. Kama unabisha hebu baranganya kidogo uone who is the dady...
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

wewe sio askari hata kidogo acha fix
 
Nimecheka sana,kwa taarifa yako kama huelewi....ugunduzi wa mambo mengi tu ulianzia jeshini(hapa naongelea-"technology world wide",aidha fanya utafiti utagundua kwa hapa kwetu tunawataalam waliobobea katika ngazi zote za elimu kuanzia degree ya kwanza na kuendelea waliopo katika majeshi yetu,siyo kweli kazi hizo haziwafai wasomi....kasi ya mabadiliko na kukuwa kwa teknolojia kunahitaji watu waliopevuka kielimu na majeshi yetu yanao wasomi wengi tu walio bobea katika fani mbalimbali,mawazo ya wanaowaza kama unavyowaza wewe kwamba kazi hizi hazihitaji wasomi ni mawazo hasi( its just a myth....),tatizo hatusomi vitabu na kufuatilia mambo....."The military(World wide) has played a major role in what we call modern technology,in other words there is no way the military could achieve this without professionalism....."kwa hiyo kazi hizi ni za wasomi kaka...."think twice"
 
Nimecheka sana,kwa taarifa yako kama huelewi....ugunduzi wa mambo mengi tu ulianzia jeshini(hapa naongelea-"technology world wide",aidha fanya utafiti utagundua kwa hapa kwetu tunawataalam waliobobea katika ngazi zote za elimu kuanzia degree ya kwanza na kuendelea waliopo katika majeshi yetu,siyo kweli kazi hizo haziwafai wasomi....kasi ya mabadiliko na kukuwa kwa teknolojia kunahitaji watu waliopevuka kielimu na majeshi yetu yanao wasomi wengi tu walio bobea katika fani mbalimbali,mawazo ya wanaowaza kama unavyowaza wewe kwamba kazi hizi hazihitaji wasomi ni mawazo hasi( its just a myth....),tatizo hatusomi vitabu na kufuatilia mambo....."The military(World wide) has played a major role in what we call modern technology,in other words there is no way the military could achieve this without professionalism....."kwa hiyo kazi hizi ni za wasomi kaka...."think twice"

mkuu unatumia kinywaji gani??? nashukuru kwa kumpa darasa mtoa mada
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

msomi ni mtu wa aina gani??? we ulifanyia jeshi la nchi gani hilo??? nakushauri research yako uanze upya kwa kufanya hivi... kila majeshi yanapotangaza nafasi za ajira, basi nenda siku ya interview ukawahoji watahiniwa wanaowania hizo nafasi wana shule gani then utarudi na majibu mkuu..
 
Mkuu sijatukana mtu ila majeshi ya Tanzania si rafiki kwa wasomi.

Tanzania ipi unayoizungumzia mkuu??? we unaongea stori za kwenye kahawa ila habari yako haina ukweli
 
Katika Hizo Kazi Unazoamini Zinawafaa Wasomi ,Ni Makubwa Gani Yaliyofanyika?
 
Basi kama wewe msomi sana si utafute kazi ya kisomi zaidi, halafu mimi na cheti changu cha form four failure nitakuja kukupiga tanganyika jeki na kukusweka lupango siku ukibaranganya huko kwenye kazi yako ya kisomi...

By the way, hata ukidharu na kuwachukia vipi wanajeshi/polisi/magereza , mwisho wa siku wakipita lazima mwili ukushtuke. Kama unabisha hebu baranganya kidogo uone who is the dady...

Thubutu...umesweka maprofesa wangapi mpaka sasa
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

Kwani ww una elimu gani??, ukute una ka degree kamoja tu, wakati wenzako wana masters+doctorate+cpA(T), na wanakula maisha jeshini, ww kwanza hujawahi ht fanyia kazi kwny jeshi lolote hapa bonge, utawadanganya wajinga wajinga km ww.
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

Upo sahihi mkuu! Japo wengi hawakukuelewa. Uzowefu wa 10years unaongelea unachokijuwa. Majibu ya wachangiaji hayaendani na mada yako.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
hahaaaa!!! kuna kaukweli hapa,

nina ma friend mwanajeshi, anayoyaongeleaga kwakweli mmmh!!

mtoa mada mm nimekuelewa japo mie naona km watu wamepanik na kugoma kuelewa lile la msingi uliloliongelea.
 
Mtoa mada bila shaka utakuwa umepita jeshini kwa mujibu wa sheria tu.
 
Back
Top Bottom