Majengo ya Shule yateketea moto LINDI

Status
Not open for further replies.

Jang Bo Go

JF-Expert Member
Oct 22, 2011
854
253
Habari zenu wadau

Baadhi ya majengo ya shule ya Sekondari Lindi yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo. Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba hakuna mtu aliyedhurika na moto huo.

Kwa taarifa za awali majengo ya madarasa zaidi ya 8 ya form one mpaka form four yalikumbwa na moto huo.

Ilikuwa ifungue kesho sasa haijafahamika kama watoto wataendelea kubaki likizo au kuna utaratibu utatumika warudi shule.

Chanzo cha moto bado hakijafahamika.
 
Habari zenu wadau

Baadhi ya majengo ya shule ya Sekondari Lindi yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo. Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba hakuna mtu aliyedhurika na moto huo.

Kwa taarifa za awali majengo ya madarasa zaidi ya 8 ya form one mpaka form four yalikumbwa na moto huo.

Ilikuwa ifungue kesho sasa haijafahamika kama watoto wataendelea kubaki likizo au kuna utaratibu utatumika warudi shule.

Chanzo cha moto bado hakijafahamika.
mkuu ,picha muhimu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom