Baada ya kushinda vijiji vingi katika jimbo la moshi vijijini changamoto mpya imezuka. Majengo mengi ambayo ofisi za vijiji zipo ni ofisi pia za CCM.
Katika vijiji vya Okaseni na Kimanganuni ofisi za vijiji zilijengwa wakati wa chama kimoja, na kwa kuwa CCM ndo walikuwa viongozi wa serikali za mtaa hii haiukuwa changamoo.
Sasa hatujui itakuwaje kwa kuwa CHADEMA nao wamepandisha bendera zao kwenye haya majengo, hivyo CCM sasa hawana tena ofisi katika vijiji hivi ambayo wameichagua CHADEMA 100%.
Busara inatakiwa haraka, CHADEMA watumie haya majengo kama ofisi za seriakli na wasipandishe bendera ili miaka ijayo yatumike na vyama vyote, dr. Slaa ingilia kati tafadhali.
Katika vijiji vya Okaseni na Kimanganuni ofisi za vijiji zilijengwa wakati wa chama kimoja, na kwa kuwa CCM ndo walikuwa viongozi wa serikali za mtaa hii haiukuwa changamoo.
Sasa hatujui itakuwaje kwa kuwa CHADEMA nao wamepandisha bendera zao kwenye haya majengo, hivyo CCM sasa hawana tena ofisi katika vijiji hivi ambayo wameichagua CHADEMA 100%.
Busara inatakiwa haraka, CHADEMA watumie haya majengo kama ofisi za seriakli na wasipandishe bendera ili miaka ijayo yatumike na vyama vyote, dr. Slaa ingilia kati tafadhali.