majembe SUA yakomaa na LOAN BOARD.

rayman m

Senior Member
Feb 6, 2012
120
27
Nikwanzia asubuhi tupo HESLB kufuatilia issue ya 2nd year waliokosa mkopo mwaka jana, issue ni hot watu wana munkali board wanadai wametuma majina chuon but for further clarification tunawataka watoe hard copy tuondoke nayo.
 
aisee! Dvc alikuwa ni kambarage, huyu wa sasa ni kimeo tu. Poleni sana.

asante bro! Da jana wametuchezea rafu wametupia kanyaboya kwenye web ya chuo na yuda wetu ni afisa mikopo sua!!!!
 
asante bro! Da jana wametuchezea rafu wametupia kanyaboya kwenye web ya chuo na yuda wetu ni afisa mikopo sua!!!!

Komaeni jamani. Mi ni ex-SUA, wa enzi zile. Ni mpenda kudai haki maarufu hata marehemu baba yangu alikua ananipa BIG UP kwa hilo.
 
Back
Top Bottom