Samahani kidogo hapo, hivi yule anayeoa halafu anaendela kutamani wanawake nje nae anaitwaje vile?
Amekuja kwangu akiwa na sura ya huzuni na majonzi tele, nikajua ana tatizo kubwa, nikaketi kumsikiliza habari aliyojia;
Ni mwanamke ameolewa miaka michache iliyopita yaani ndoa yao bado changa tu, ameajiriwa katika kampuni fulani binafsi wanamlipa mshahara wa kutosha kubadili mboga, mumewe alipata uhamisho kwenda mkoani kikazi kama mwaka tu umepita, wakapiga mahesabu wana miradi na wamejenga nyumba yao hapa, kipato chao ni cha kawaida tu hivyo wakaona mke aendelee na kazi hapa hapa ila mume ndio aende mkoani kusaka maisha halafu mume akipata nafasi atakuwa anakuja na mke anaweza kwenda pia.
Baada ya mume kuondoka mke ameendelea na maisha kama kawaida, ila TATIZO limeanzia pale ambapo rafiki yangu huyu amejikuta anavutiwa sana na mwanaume mmoja ambaye anakaa maneneo ya karibu na nyumbani kwake na mara kadhaa amekuwa akimkuta njiani na kumpa lifti na kuongea mawili matatu ya maisha. Kadiri siku zinavyokwenda anazidi kumpenda mwanaume huyu ambaye pia ni mume wa mtu! Hajui afanyeje kuepuka hali hii kwani ni mtu ambaye familia zao zimeshazoeana si rahisi kukatisha mahusiano ghafla kutaleta maswali sana, hawezi kuhama mtaa wala kubadili njia ni hiyohiyo moja, na wakati mwingine usafiri ni wa shida balaa inabidi tu akubali hiyo lifti. Huyo mwanaume hajaonyesha dalili yoyote ya kumzimikia rafiki yangu huyu wala kumtongoza, ni mdada tu ndio amempenda/tamani)!
Nimemshauri akae mbali na huyo jamaa na pia ajitahidi kwenda kumuona mumewe au amwambie mumewe aje haraka kuokoa jahazi, hayo yote ni majaribu tu kwa kuwa hajamuona mumewe siku nyingi! dada wa watu anasema hafikirii kumsaliti mumewe hata siku moja kwahiyo ndio anatafuta jinsi ya kukimbia jaribu hilo, anatamani apate wasaa amwambie ukweli, kitu ambacho naona si sahihi kwani anaweza akadraw attention ya huyo jamaa na kumfanya nae amuwazie kimapenzi na matokeo yake anaweza kumuweka katika majaribu zaidi wakafanya usaliti ktk ndoa zao.
Nimetoa ushauri kwa wengi lakini hili nimepungukiwa nondo, niongezeeni maoni yenu wadau! nimsaidieje huyu dada?
Ila ujumbe nilioupata hapa ni kwamba tusiache wake zetu mbali, sijui iwe ni kwa sababu gani lakini tufikirie marambili, pia kama mke yuko ktk hali hii je mumewe huko yuko ktk hali gani? anayashindaje majaribu? nimejiuliza sana.
Amekuja kwangu akiwa na sura ya huzuni na majonzi tele, nikajua ana tatizo kubwa, nikaketi kumsikiliza habari aliyojia;
Ni mwanamke ameolewa miaka michache iliyopita yaani ndoa yao bado changa tu, ameajiriwa katika kampuni fulani binafsi wanamlipa mshahara wa kutosha kubadili mboga, mumewe alipata uhamisho kwenda mkoani kikazi kama mwaka tu umepita, wakapiga mahesabu wana miradi na wamejenga nyumba yao hapa, kipato chao ni cha kawaida tu hivyo wakaona mke aendelee na kazi hapa hapa ila mume ndio aende mkoani kusaka maisha halafu mume akipata nafasi atakuwa anakuja na mke anaweza kwenda pia.
Baada ya mume kuondoka mke ameendelea na maisha kama kawaida, ila TATIZO limeanzia pale ambapo rafiki yangu huyu amejikuta anavutiwa sana na mwanaume mmoja ambaye anakaa maneneo ya karibu na nyumbani kwake na mara kadhaa amekuwa akimkuta njiani na kumpa lifti na kuongea mawili matatu ya maisha. Kadiri siku zinavyokwenda anazidi kumpenda mwanaume huyu ambaye pia ni mume wa mtu! Hajui afanyeje kuepuka hali hii kwani ni mtu ambaye familia zao zimeshazoeana si rahisi kukatisha mahusiano ghafla kutaleta maswali sana, hawezi kuhama mtaa wala kubadili njia ni hiyohiyo moja, na wakati mwingine usafiri ni wa shida balaa inabidi tu akubali hiyo lifti. Huyo mwanaume hajaonyesha dalili yoyote ya kumzimikia rafiki yangu huyu wala kumtongoza, ni mdada tu ndio amempenda/tamani)!
Nimemshauri akae mbali na huyo jamaa na pia ajitahidi kwenda kumuona mumewe au amwambie mumewe aje haraka kuokoa jahazi, hayo yote ni majaribu tu kwa kuwa hajamuona mumewe siku nyingi! dada wa watu anasema hafikirii kumsaliti mumewe hata siku moja kwahiyo ndio anatafuta jinsi ya kukimbia jaribu hilo, anatamani apate wasaa amwambie ukweli, kitu ambacho naona si sahihi kwani anaweza akadraw attention ya huyo jamaa na kumfanya nae amuwazie kimapenzi na matokeo yake anaweza kumuweka katika majaribu zaidi wakafanya usaliti ktk ndoa zao.
Nimetoa ushauri kwa wengi lakini hili nimepungukiwa nondo, niongezeeni maoni yenu wadau! nimsaidieje huyu dada?
Ila ujumbe nilioupata hapa ni kwamba tusiache wake zetu mbali, sijui iwe ni kwa sababu gani lakini tufikirie marambili, pia kama mke yuko ktk hali hii je mumewe huko yuko ktk hali gani? anayashindaje majaribu? nimejiuliza sana.
Samahani kidogo hapo, hivi yule anayeoa halafu anaendela kutamani wanawake nje nae anaitwaje vile?
Very simple usiumize vichwa vyetu, its either umwambie mumewe or uachane apopolewe kwani yatakayomkuta ni juu yake, huyo mwanamke ni mzinzi tu period, and she is so cheap yani kisa lift tu? Siku akija kunua gari ha ka- duet atajiona alivyokuwa cheap!
ILA SIO KOSA LAKE, LIFT, CHIPS KUKU, SAVANNAH, HEINEKEN ZIMEWAPONZA WADADA WENGI SANA TENA SANA TU!
hapo mtaan wataonana vp wakati yy anakaa nyumbani kwake na huyo baba nyumbani kwake. Ajitahidi kutulia ndani kama mwali, amuepuke. Mwambie accheze na hiyo hali huwa inatekenya kumuona ona tu jamaa. Amkimbie kama ukoma.Hapana, hapo kisa sio lift tu ndugu, hiyo iko hapo kwa sababu ni namna mojawapo inayowakutanisha ktk maongezi kwani hata bila lift watakutana tu kwani wanakaa maeneo ya karibu na familia zao zinafahamiana na kutembeleana. Ushauri hapo ni kwamba amuepuke vipi huyo bwana, kwani kadiri anavyozidi kumuona ndio roho yake inamuwaka moto! Amekubali kuacha kupanda hiyo lift ili kukwepa maongezi zaidi, ila bado wataonana mtaani! Kumwambia mumewe ni kuchimba kaburi la ndoa yao kitu nisichopenda kitokee. Nashukuru kwa muda wako kuchangia pia.
well if u want to short circuit ur marriage live in different cities!!! mfano hai huo hapo jamani. kwa wale mnataka kuoa mambo ya kuishi mikoa mbali mbali sio ndoa bali kujidanganya.
Anaitwa mume wa mtu, Jembe, K.i.t.o.m.b.i , papaa, Bazazi, etc ila hawezi kuitwa malaya malaya ni feminine so tafuta mascuine yake sio lazima kila neno la kiswahili liwe na usawa.
amekuja kwangu akiwa na sura ya huzuni na majonzi tele, nikajua ana tatizo kubwa, nikaketi kumsikiliza habari aliyojia;
ni mwanamke ameolewa miaka michache iliyopita yaani ndoa yao bado changa tu, ameajiriwa katika kampuni fulani binafsi wanamlipa mshahara wa kutosha kubadili mboga, mumewe alipata uhamisho kwenda mkoani kikazi kama mwaka tu umepita, wakapiga mahesabu wana miradi na wamejenga nyumba yao hapa, kipato chao ni cha kawaida tu hivyo wakaona mke aendelee na kazi hapa hapa ila mume ndio aende mkoani kusaka maisha halafu mume akipata nafasi atakuwa anakuja na mke anaweza kwenda pia.
Baada ya mume kuondoka mke ameendelea na maisha kama kawaida, ila tatizo limeanzia pale ambapo rafiki yangu huyu amejikuta anavutiwa sana na mwanaume mmoja ambaye anakaa maneneo ya karibu na nyumbani kwake na mara kadhaa amekuwa akimkuta njiani na kumpa lifti na kuongea mawili matatu ya maisha. Kadiri siku zinavyokwenda anazidi kumpenda mwanaume huyu ambaye pia ni mume wa mtu! Hajui afanyeje kuepuka hali hii kwani ni mtu ambaye familia zao zimeshazoeana si rahisi kukatisha mahusiano ghafla kutaleta maswali sana, hawezi kuhama mtaa wala kubadili njia ni hiyohiyo moja, na wakati mwingine usafiri ni wa shida balaa inabidi tu akubali hiyo lifti. Huyo mwanaume hajaonyesha dalili yoyote ya kumzimikia rafiki yangu huyu wala kumtongoza, ni mdada tu ndio amempenda/tamani)!
Nimemshauri akae mbali na huyo jamaa na pia ajitahidi kwenda kumuona mumewe au amwambie mumewe aje haraka kuokoa jahazi, hayo yote ni majaribu tu kwa kuwa hajamuona mumewe siku nyingi! Dada wa watu anasema hafikirii kumsaliti mumewe hata siku moja kwahiyo ndio anatafuta jinsi ya kukimbia jaribu hilo, anatamani apate wasaa amwambie ukweli, kitu ambacho naona si sahihi kwani anaweza akadraw attention ya huyo jamaa na kumfanya nae amuwazie kimapenzi na matokeo yake anaweza kumuweka katika majaribu zaidi wakafanya usaliti ktk ndoa zao.
Nimetoa ushauri kwa wengi lakini hili nimepungukiwa nondo, niongezeeni maoni yenu wadau! Nimsaidieje huyu dada?
Ila ujumbe nilioupata hapa ni kwamba tusiache wake zetu mbali, sijui iwe ni kwa sababu gani lakini tufikirie marambili, pia kama mke yuko ktk hali hii je mumewe huko yuko ktk hali gani? Anayashindaje majaribu? Nimejiuliza sana.