Majaribu makubwa mengine Arusha - Lema

Majaribu makubwa mengine Arusha - Lema

Godbless J Lema

Arusha MP
Joined
Sep 28, 2013
Posts
92
Reaction score
2,205
Nimepata taarifa jana ya mlipuko wa Bomu uliotokea Arusha katika Bar ya Arusha Night Park , taarifa niliyoipokea inasema baadhi ya Watu wameumizwa vibaya sana lakini hata hivyo bahati nzuri mpaka sasa sijapokea taarifa ya Binadamu aliyepoteza maisha .

Maisha yanaendelea kuwa magumu katika fikra za Watu kwani milipuko kama hii ilianzia Kanisani halafu ikafuata katika Mkutano wa hadhara wa Chadema na sasa ni kwenye Bar za Pombe , sijui ni nini kinaendelea Arusha , lakini ni vyema muda wa kutafakari ukaongezewa nafasi . Kama Mbunge sina neno zaidi mpaka nitakapokuwa nimefika Arusha leo nakuona na kutafakari .

Poleni sana Familia zote zilizofikwa na majanga haya nawaombea kwa Mungu huku nikitambua mashaka makubwa ya Watu wote wa Arusha . Majaribu haya ni makubwa lakini kwa Dua na Sala mtashinda .

Godbless J Lema
 
We lema nawe huuishiwi viroja?
Ni kweli Bomu limelipuka na watu kujeruhiwa lakini unaposema ni majaribu kwa lema ina maana wewe kila kitu ni siasa.

Acha kujenga picha usiyoiweza tangu lini wewe ukawa Msemaji wa Vyombo vya Usalama?

Lema jiangalie sana
Mambo ya Usalama wa Raia sio wa kuja kubwabwaja huku jamii forums wakati hujui hata 1/3 ya tukio.
 
Una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.

Hii nchi ina hila sana. wakati Kule .Tumia muda kutafakari kwa makini usiongozwe na hisia peke yake
 
Pole mkuu na majeruhi wote lakini ni mapema ku judge nani wamefanya
Vile vile ni changamoto kwa mbowe na chadema kuutoa hadharani ule mkanda wa DVR baada ya Rais kushindwa kuunda tume huru ya kimahakama kufanya uchunguzi wa Bomb la soweto ili ijulikane kuna uhusiano wa hayo mauaji?
 
Asnte sana Kiongozi wetu unaye tujali na kutupenda.Hii ni mbinu ya ccm ya kutaka kudanganya watu kuwa mabomu siyo kanisani tu na mikutano ya chadema bali ni popote,kazi ya Mwigulu baada ya kutoka china ndo hiyo sijui itakuwaje ila tunamuomba Mungu awadhihirishe na kuwaadhibu hawa watu wanaotaka kuharibu amani yetu kwa kungang'ania utawala
 
Una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.

Hivi wewe ni mzima na utu kweli? Tasa wa akili mkubwa ! badala ya kujali walioumia unasema mambo ya kipuunzi kiasi hiki? Degedege lililotokana na mama yako kukuchelewesha kukupeleka clinic limekuharibu hadi kufikiri kwako!
 
Una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.
Vipi ndugu mmepona? jana nimekutafuta hewani ukawa kimya sana. poleni na Mungu awape uwepesi wa maumivu na kupona haraka kwa waliojeruhiwa. Ningekuwa karibu ningewajia kuwapa pole ila ni majukumu yamenibana sana huku Kanda ya Ziwa. Msalimie Shemejiangu sana.
 
We lema nawe huuishiwi viroja?
Ni kweli Bomu limelipuka na watu kujeruhiwa lakini unaposema ni majaribu kwa lema ina maana wewe kila kitu ni siasa.

Acha kujenga picha usiyoiweza tangu lini wewe ukawa Msemaji wa Vyombo vya Usalama?

Lema jiangalie sana
Mambo ya Usalama wa Raia sio wa kuja kubwabwaja huku jamii forums wakati hujui hata 1/3 ya tukio.

Nchi hii tuna shida kubwa.
Neno maajabu kwako limekuwa siasa?
WTF!
 
Duh...kama Lema kinara wa kuropoka kaandika hivi, lazima aliye karibu naye muda anaandika atakuwa ni mkomavu wa akili na busara.....

Any way....ukifika Arusha na kukaribishwa yale mambo yetu ya jadi "cha Arusha"...chonde usianze kuropoka badala ya kufariji............maana sikuamini kabisa.
 
Nimepata taarifa jana ya mlipuko wa Bomu uliotokea Arusha katika Bar ya Arusha Night Park , taarifa niliyoipokea inasema baadhi ya Watu wameumizwa vibaya sana lakini hata hivyo bahati nzuri mpaka sasa sijapokea taarifa ya Binadamu aliyepoteza maisha .

Maisha yanaendelea kuwa magumu katika fikra za Watu kwani milipuko kama hii ilianzia Kanisani halafu ikafuata katika Mkutano wa hadhara wa Chadema na sasa ni kwenye Bar za Pombe , sijui ni nini kinaendelea Arusha , lakini ni vyema muda wa kutafakari ukaongezewa nafasi . Kama Mbunge sina neno zaidi mpaka nitakapokuwa nimefika Arusha leo nakuona na kutafakari .

Poleni sana Familia zote zilizofikwa na majanga haya nawaombea kwa Mungu huku nikitambua mashaka makubwa ya Watu wote wa Arusha . Majaribu haya ni makubwa lakini kwa Dua na Sala mtashinda .

Godbless J Lema

Arusha chini ya uongozi wako imeshuhudia umwagaji wa damu na vifo vya kipuuz na visivyo tarajiwa kutokana na aina ya siasa unayoifanya wewe kihiyo

Ni wazi sasa wana arusha wamejifunza kutokana na makosa na kutorudia kufanya selection ya mbunge hopless kama wewe

Ni wazi pia arusha ni kambi ya chadema,basi sio lazima wawape CCM no,wampate mbunge mzuri sampuli hata ya tundu lisu

Lakini si sampuli ya hovyo kama wewe,

Arusha ni mji mkuu wa utalii baada ya zanzibar katika nchi hii,lakin sasa ndan ya uongoz wako sekta yote ya utalii imekufa natural death

Fanya fanya uondoke zako,uongozi chini yako ni laana...
 
Una gundu tangu uwe mbunge arusha imekuwa ya majanga tu! Wewe ni mbunge wa majanga, fikiria tangu kipindi kile cha maandamano watu wengi wamepoteza maisha na wengine ni vilema wa kudumu.

Vp kule Mtwara, kule Tarime, Songea mjini na Kilosa ni Lema pia. Fungua fahamu mheshimu mbunge wetu nyang'au mkubwa wewe!!!!
 
Back
Top Bottom