Majangili ni zaidi ya serikali,wauwa tena Faru serengeti

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
429
wadau!!
Sasa nimeamin hawa jamaa wameizid serikali kete.
Katika hali ya kushangaza majangili wameuwa tena faru katika hifadhi ya taifa serengeti kusini eneo maarufu lijuliknao kwa jina la moru.
Faru nuyo ameuwa na majangili wameondka na pembe yake,ni juzi operasheni ya kuokoa tembo ilisitishwa leo wamehamia kwenye faru,
Ni waz sasa hawa majangili ni zaidi ya serikali,kwa jinsi ninavyofahmu faru hawa wa serengeti wanapewa ulinzi wa hali ya juu,mpaka ilifikia kipndi askar wa wanyamapori wanakabidhiana faru pindi mtu anapotoka lindo,yule anaye ingia lindon anahakikisha amewaona faru woye ndo asaini kitabu asipowaona hawez kusaini.
Kama hiyo haitoshi faru haw a wamekuw na ulinzi wa kutosha kwan wamekuw wakifungwa transmiter kuhakikisha wanawamonita muda wote,na wamekuwa na magar special ya kuwafuatilia kila wanapo sogea hata mita moja nao askari wa tanapa wanasogea na kupiga mahema!!
Sasa najiuliza ni laaana gani iliyoikumba serikali ikashindwa kushughulikia janga hili la kupotea kwa maliasili zetu
 
Ushaona FARU ANAUA FARU MWENZAKE TEHEEE ONGEZA AKILI YETU UNIPATE
 
Kama hiyo habari ni ya kweli,, basi inasikitisha sana, natamani watolewe watu wa mfano wapewe adhabu ambayo wengine hawatarudia,

Hii wizara inabidi apewe mtu mjasiri kweli wa kutenda kama Magufuli,,
 
wadau!!
Sasa nimeamin hawa jamaa wameizid serikali kete.
Katika hali ya kushangaza majangili wameuwa tena faru katika hifadhi ya taifa serengeti kusini eneo maarufu lijuliknao kwa jina la moru.
Faru nuyo ameuwa na majangili wameondka na pembe yake,ni juzi operasheni ya kuokoa tembo ilisitishwa leo wamehamia kwenye faru,
Ni waz sasa hawa majangili ni zaidi ya serikali,kwa jinsi ninavyofahmu faru hawa wa serengeti wanapewa ulinzi wa hali ya juu,mpaka ilifikia kipndi askar wa wanyamapori wanakabidhiana faru pindi mtu anapotoka lindo,yule anaye ingia lindon anahakikisha amewaona faru woye ndo asaini kitabu asipowaona hawez kusaini.
Kama hiyo haitoshi faru haw a wamekuw na ulinzi wa kutosha kwan wamekuw wakifungwa transmiter kuhakikisha wanawamonita muda wote,na wamekuwa na magar special ya kuwafuatilia kila wanapo sogea hata mita moja nao askari wa tanapa wanasogea na kupiga mahema!!
Sasa najiuliza ni laaana gani iliyoikumba serikali ikashindwa kushughulikia janga hili la kupotea kwa maliasili zetu
Hili Jambo ni Gumu sana kulitatua kwa sasa Kama ilivyo vigumu pale Chadema kukubali Kuwa Mbowe ni Mfujani wa pesa za Ruzuku na misaada Pia Rushwa ya Ngono Viti maalum yaani Mbowe ni Mshabiki number one wa ukabila ukanda Pia ni mpenda sifa isivyo na mfano kwa ufupi ana udhaifu na mapungufu mengi sana yasiyofaa kwa jamii ya tz
 
Hili Jambo ni Gumu sana kulitatua kwa sasa Kama ilivyo vigumu pale Chadema kukubali Kuwa Mbowe ni Mfujani wa pesa za Ruzuku na misaada Pia Rushwa ya Ngono Viti maalum yaani Mbowe ni Mshabiki number one wa ukabila ukanda Pia ni mpenda sifa isivyo na mfano kwa ufupi ana udhaifu na mapungufu mengi sana yasiyofaa kwa jamii ya tz

Topic ni Faru na udhaifu wa serikali ya maccm wewe badala ya kujadil8 hoja umeanza kujambajamba.
 
hatuna serekali, wametengeneza mafisadi sasa wameshindwa kuwa control. Ujangili na madawa ya kulevya ni doa kwa serekali hii.
 
Kama hiyo habari ni ya kweli,, basi inasikitisha sana, natamani watolewe watu wa mfano wapewe adhabu ambayo wengine hawatarudia,

Hii wizara inabidi apewe mtu mjasiri kweli wa kutenda kama Magufuli,,

Mkuu hii habari ni ya kweli nimeshuhudia naibu waziri anatoa taarifa hizi kwa wandishi wa habari EATV. Inasikitisha sana He was about to cry. Lakin naamini watuhumiwa watapatikana kwa mujibu wa taarifa ya mh. Naibu waziri.
 
Jk alisema hao faru watapewa ulinzi mkali kuliko yeye...hahaaa
 
kweli wizara imeshindwa kazi.kama faru wanalindwa kwa askari kupokezana kwa masaa 24.na wana vifaa maalumu vya kujulikana walipo.ameweza kuuawa. je tembo wasiolindwa na wasio na vifaa maalumu?MUNGU SAIDIA TZ
 
Haingii akilini kama faru anawekewa ulinzi wa hali ya juu kiasi hicho mpaka kufungwa chombo cha kummoniter na askari anaeingia lindoni mpaka ahakikishe faru wote wapo ndipo asaini kitabu.Sasa inakuwaje faru anauliwa kirahisi hivyo kama sio njama za askari wenyewe?
 
Hili Jambo ni Gumu sana kulitatua kwa sasa Kama ilivyo vigumu pale Chadema kukubali Kuwa Mbowe ni Mfujani wa pesa za Ruzuku na misaada Pia Rushwa ya Ngono Viti maalum yaani Mbowe ni Mshabiki number one wa ukabila ukanda Pia ni mpenda sifa isivyo na mfano kwa ufupi ana udhaifu na mapungufu mengi sana yasiyofaa kwa jamii ya tz

Acha umalaya!!!Jadili hoja na siyo kuleta uharo hapa!!!!!Ya Chadema yanahusiana vp na kuuawa kwa faru!??OFF POINT
 
Topic ni Faru na udhaifu wa serikali ya maccm wewe badala ya kujadil8 hoja umeanza kujambajamba.

Ujamba jamba wewe muumini Nyumbu wa Mbowe upo Kama bendera fuata upepo Nyie Manyumbu wa Mbowe mnaswagwa hovyo mnakwenda Kama Mbowe anavyotaka . Hawa wauaji wa Faru Tabia zao za unyama wao hazina tofauti na Tabia za Mbowe Ndio Maana tukasema Kuwa Suala la kuzuia Ujangiri ni Gumu Kama ilivyo vigumu kwa Chadema kumwambia Ukweli Mbowe juu ya Udhaifu na mapungufu yake .
 
Acha umalaya!!!Jadili hoja na siyo kuleta uharo hapa!!!!!Ya Chadema yanahusiana vp na kuuawa kwa faru!??OFF POINT

Uharo unao wewe mchumba wa Mbowe unayemsujudia Kama Mungu wako kisa alikuhonga kwa njaa zako Hoja ya Ujangiri ni Ngumu kutekelezeka Kama ilivyo vigumu kwa waumini wa Mbowe kumwambia Ukweli juu ya Udhaifu na mapungufu yake .
 
Si amesema taarifa ya kamati ni uongo!!!!!!
Afanye kazi sasa tuone ukweli wake sio makelele tu!!!

Na wakati wa kampeni mpaka kuapishwa Rais na kuweka baraza jipya kama kipindi hiko hakitakuwa na Tokomeza historia itajiandika!!!!!!!
 
Haingii akilini kama faru anawekewa ulinzi wa hali ya juu kiasi hicho mpaka kufungwa chombo cha kummoniter na askari anaeingia lindoni mpaka ahakikishe faru wote wapo ndipo asaini kitabu.Sasa inakuwaje faru anauliwa kirahisi hivyo kama sio njama za askari wenyewe?
Hili janga ni Vigumu sana kulimaliza Kama ilivyo vigumu kwa Chadema kumwambia Ukweli Mbowe juu ya Udhaifu na mapungufu yake
 
Back
Top Bottom