ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Nimesikia habari za majambazi kuu mtu na kupora duka la madawa la Fedex. Kwa anayejua details la eneo hilo la duka yalikofanyika mauaji anijuze tafadhali, nna ndugu yangy afanyia kazi hayo maduka, presha yanishuka mie tafadhali. najaribu mpigia simu haipokelewi, anayejua anijuze duka gani kwa pao dar yalikofanyika mauaji, plz!