Jeshi la polisi kwa ushirikiano mzuri jana jion majira ya sa 12 yalifanikiwa kuua majambazi watano akiwemo mwanamke mmoja waliokuwa wakitafutwa kwa muda ,kwemye bar maarufu ya pama hapa arusha....habari kamili yafuata
Jeshi la polisi kwa ushirikiano mzuri jana jion majira ya sa 12 yalifanikiwa kuua majambazi watano akiwemo mwanamke mmoja waliokuwa wakitafutwa kwa muda ,kwemye bar maarufu ya pama hapa arusha....habari kamili yafuata
Kamanda wetu hayumo kweli!!!?
Nani? Lema au...?
Ngongo mzee wa A town hebu hakiki hii mambo na kama utatia neno kama hao ni manyoka tu au kuna "vichwa" pia!!
Mkuu wangu OLESAIDIMU hii habari ndio habari ya mjini leo Arusha ukichanganya na fagia fagia ya City vunja vunja ya mabanda kwa amri ya mkuu wa wilaya ya Arusha.Ukweli ni kwamba leo mji wa Arusha ni msafi kuliko maelezo wale akina mama waliokuwa wakiuza mchicha,nyanya,vitungu na bidhaa kadhaa kando kando ya barabara wamefurushwa na askari wa jiji.Habari za kuwawa majambazi wa tano ni kweli ila kila mmoja anatoa hadithi yake.
Kama alikuwepo na Jumanne Mjusi itakuwa habari mbaya kwa ccm.
Ni kweli wameuwawa lakini si watano ila wako wanne